Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Can you imagine ile mwez wa 2 trh 14 , siku ya wapenda nao , nikatuma sms waapi , nikajua kalala, kuamka sikuon hat sms nikasem kwisha, kumbe yule fala karudiana na ex wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu.. Umeshinda hilo jaribuCan you imagine ile mwez wa 2 trh 14 , siku ya wapenda nao , nikatuma sms waapi , nikajua kalala, kuamka sikuon hat sms nikasem kwisha, kumbe yule fala karudiana na ex wake.
Au ni wewe nini? Sema ndo hvo ikawa asubuhi ikawa jioniLikakukuta jambo🤣🤣🤣
Asante mkuu, wanawake achana nao kabsaa tupa kuleePole mkuu.. Umeshinda hilo jaribu
Hayanaga quarantee
Aaaah we!! Haiwezi kuwa mimi 🤣Au ni wewe nini? Sema ndo hvo ikawa asubuhi ikawa jioni
Mimi ndo Sina historia ya kuumiza ila ww utakua nayo kivyovyoteAaaah we!! Haiwezi kuwa mimi 🤣
Sina historia ya kuumiza 😜😜
🤣🤣🤣🤣Mimi ndo Sina historia ya kuumiza ila ww utakua nayo kivyovyote
Wadada mnaanzaga mapema 14-16 ushajua mengi unafika 20's una tips nyingi ila sisi mpaka 20's bado utoto mwingi unapata demu unaingia miguu yote unapigwa matukio mpaka unakoma🤣🤣🤣🤣
Acha kunisingizia!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila maisha haya kuna mwamba leo kwenye mwendo kasi alikuwa anakuna kichwa changu akijua chake watu wanastress aisee
Wewe jamaa ni muongoIla maisha haya kuna mwamba leo kwenye mwendo kasi alikuwa anakuna kichwa changu akijua chake watu wanastress aisee
Mmmh! Mbona sisi ndio huwa tunachelewa!Wadada mnaanzaga mapema 14-16 ushajua mengi unafika 20's una tips nyingi ila sisi mpaka 20's bado utoto mwingi unapata demu unaingia miguu yote unapigwa matukio mpaka unakoma
Nyie mnawahi kwa vingi hata kupevuka kifikra ila sisi tunachelewa kidogoMmmh! Mbona sisi ndio huwa tunachelewa!
You're not aloneAcha tu bro kale kafeeling sio poa
Imagine watu tumeachwa tunasikilizia maumivu miaka 3 baadae
Unanyatia IG yake uone anafanya nini
Namba unayo unatamani upige ila dah
Ukikumbuka yale manjonjo....
Acha tu
🤣🤣🤣🤣 Nimekwambia kituko kingne ila kwakuwa umekataa basiWewe jamaa ni muongo
Sio poa[emoji23][emoji23]Can you imagine ile mwez wa 2 trh 14 , siku ya wapenda nao , nikatuma sms waapi , nikajua kalala, kuamka sikuon hat sms nikasem kwisha, kumbe yule fala karudiana na ex wake.