Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Itakuwa nimechovya nitamuuliza maza 😅😅😅Wahaya wanapenda kukomoa na visasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa nimechovya nitamuuliza maza 😅😅😅Wahaya wanapenda kukomoa na visasi
haujawai jaa kwenye mfumo wa kupigwa tukioUnachekeshaa weyeeee!! Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora ulivyoacha ujinga, uache kufocus na vitu vya kueleweka uwaze mkubwa mwenzio.hahaha! sasa hivi nipo gadoo ile mbayaa.. ila ndio sitoingia kwenye mfumo wa mtoto wa mtu tena
Uache kuwa sawa wewe uliyetelekezwa kigambonino parii unaionea kwenye concert za Fally mpk umeamua kujifariji kwa kujifanya ni yeye.Huyo hamna kitu mkuu kutukana ndio kitu anajua Hana hoja huyu ile ili muuma sana hayupo sawa sawa 😂😁😁😁😁
sema yana yanaendesha dunia.. sema tufocus labda na hela na kujipendaBora ulivyoacha ujinga, uache kufocus na vitu vya kueleweka uwaze mkubwa mwenzio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabla ya kupigwa, ntaanza mie kupiga. Lolhaujawai jaa kwenye mfumo wa kupigwa tukio
Halafu sina hata mood wanaforce kweli.!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Kumeanza kuchangamka sasa.
Unaacha kujipenda mwenyewe unaanza kupenda mtoto wa mtu mkuu kweli?sema yana yanaendesha dunia.. sema tufocus labda na hela na kujipenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahPyeeeee ulijua siri hivi unadhani wazungu wajinga wakubebe na ulivyo bonge hivyo.!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Anza kufanya mazoezi wenzio huwaoni kina Noel vipotabo
Ongea nae tu mkuu myamalize, coz three years na bado hajapata replacement it means njia alizopita kwenye moyo wako ni zatofauti sana... kuwa sharkhan kama vipi, hamna kukata tamaa hadi kieleweke hahahaaaAcha tu bro kale kafeeling sio poa
Imagine watu tumeachwa tunasikilizia maumivu miaka 3 baadae
Unanyatia IG yake uone anafanya nini
Namba unayo unatamani upige ila dah
Ukikumbuka yale manjonjo....
Acha tu
😹😹😹 mpaka bangi ulivuta?tatizo kigoma mwisho wa reli nilifika... ahahahah! sema nilijaribh kuvuta bangi.. ila haikufua dawa.. hata kidogo... nikajikuta kama navuta sigara tu haha
lakini waaapi.. bangi haikufua dafu...😹😹😹 mpaka bangi ulivuta?
Pole sana
hahaha! niliacha maana haikuwa na reaction.. sema sasa nimejifunza kujipenda mwenyewe tu.. nimeamua kuwa mmbinafsi.. kupenda tuwaachie watoto wa chuoKwenye bangi ndio ulikuwa unapotea mazima, bora ulivyojitambua km unachofanya ni ujinga.
Likakukuta jambo🤣🤣🤣Acha tu mazeee nlipenda Kwa moyo wote.
hahaha! haya banaa... wacha sasa nisogee kwa bed nijikumbatie, zamani kama mda huu nasubiliwii.. ila hapo najirusha sambasoti kitandani..Na wao muda ukifika hao wanafunzi watajiona wajinga