cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mmeshaanza kuchachuanaa? Hivi hamnaga vya kuwaweka buzzy?Kanipora mume halafu hajiamini [emoji81][emoji81][emoji81]
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeshaanza kuchachuanaa? Hivi hamnaga vya kuwaweka buzzy?Kanipora mume halafu hajiamini [emoji81][emoji81][emoji81]
ingekuwa mwezi wa pili au watatu walahi ningekuja aisee... nilikuwa nahaha.... mapenzi ya mwisho mwa ligi huwa matamu.. ila sasa ukijaaa kwenye mfumo ndio utaelewa😂😂😂😂 Wewe mapenzi unayapa kipaumbele sana ndiomana yanakutesa, njoo huku mbarali unisaidie kuvuna uache kuwaza ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mna njegeka nyie hatariiii, Woiiiiiih[emoji81][emoji81][emoji81] Nyakunyaku hajiamini sijui shida nini??
'Niambie wewe ni mhaya bila kuniambia wewe ni mhaya...'Kuweni na viburi vya uzima mapenzi hayatawaumiza, ukiona mtu unaempenda kaanza kujiona chips mayai, au chips kuku wa kienyeji muwahi mkache, mlete taratibu akijaa kwenye mfumo ameisha, ukishakuwa sawa sasa yeye anaweweseka ndo na wewe unaanza kuwa chips mayai...... katika hicho kipindi ni hakuna kujibu sms wa kupokea simu hata atumie line ya ikulu, maza faki
Jifanye uelewiHahahaha 😂😂😂😂 unasemaje wew
Acha tu mazeee nlipenda Kwa moyo wote.Teh teh teeeeh!
Kunywa na maji kabisa Moyo ueleee, afu ndo ushushe story.ngoja nifute kamasi kwanza,, nmekumbka machungu [emoji23]
Wewe basi tukuache mpk yakutoe roho hushauriki 😹😹😹ingekuwa mwezi wa pili au watatu walahi ningekuja aisee... nilikuwa nahaha.... mapenzi ya mwisho mwa ligi huwa matamu.. ila sasa ukijaaa kwenye mfumo ndio utaelewa
Sasa uhaya wa kina nshomile unahusikaje hapo?'Niambie wewe ni mhaya bila kuniambia wewe ni mhaya...'
😁😁😂😂😂😂😁😁Yani we ulidhani jf ni wajinga saaana..
Na ulitaka kujikuta kwamba una date na mtu flani star, publiic figure...
Pm nilitaka nikuone live, je wewe ni mwanamke, na niliandika public kwamba nakufuata PM, hamna siri hapo...
ningekukuta ni mwanamke lazima ningekuzagamua tu.. kwa asilimia kubwa sina imani na ID yako...
Kwanza hujiamini...
Kila la kheri... mie napenda kuishi aisee.. mapenzi hayana tofauti na kugusa nyaya za umeme kutoka kidatu.. ambazo hazina coverMi npo mbioni kuyarudia
Tatizo wakiona Lamomy wanaweweseka nya inawabana 😹😹😹Mmeshaanza kuchachuanaa? Hivi hamnaga vya kuwaweka buzzy?
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sawa nimeelewa msabatoJifanye uelewi
Wahaya wanapenda kukomoa na visasiSasa uhaya wa kina nshomile unahusikaje hapo?
Kanipora mume bado hajiamini sasa sijui anataka nimpe kaka zangu wakati wameoa tayari, sijui namsaidiaje??Wapuuze, achana nao.
Ushanihamishia usabatoni siosawa nimeelewa msabato
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazii ipoo, LolTatizo wakiona Lamomy wanaweweseka nya inawabana [emoji81][emoji81][emoji81]
hahaha! sasa hivi nipo gadoo ile mbayaa.. ila ndio sitoingia kwenye mfumo wa mtoto wa mtu tenaWewe basi tukuache mpk yakutoe roho hushauriki 😹😹😹
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHoja ipi ya wewe kuolewa na wazungu halafu wakagoma kukupeleka Paris au ipi?