OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
HeeeeePole sweetheart sikua najua...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeeeePole sweetheart sikua najua...
Yani nimeshindwa kuumwa utotoni na ujanani niumwe sasa naelekea uzeeni?Mkuu bado zamu yako haijafika ya kuumwa. Kuumwa mapenzi ni kama foleni
Kujiendekeza vitu vingine vichukulie km burudani havitokupa mawazo.yes, huwa inafika kipindi unaachia.. ila kabla ya kuachia kuna mateso sio ya kitoto
Nilikuwa kama wewe.. hadi nilipojaa kwenye mfumo wa mtu.. ndio nilielewaa kwanini wanasema mapenzi yanaumaaa... ile kitu ni automatic maumivu hayo yanatimba kwa mtima...Kujiendekeza vitu vingine vichukulie km burudani havitokupa mawazo.
basi mm ni binti maumivu 🤣🤣maumivu yakd sio ya kitoto.. hasa sie wengine tulikuwa na ndoa kabisa.. aah.. hii kitu sikia kwa mwingine, ukifikwa na bwana maumivu ndio utajua.. kuna mahala unatamani iwe ndoto.. lakini waaapiii
Teh teh teeeeh!Acha tu mzeee kwangu kama nliwahi penda ilikua mara ya kwanza itoshe kusema nliwahi penda
Penzi jipya kwa mnaopendana lina raha zisizoelezeka. Ila mchokane sasaUsiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wa maana wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.
😂😁😁😁😁😂😂😂😂Hivi hadi huwa nacheka....
Yani ulichobakiza ni hiko kutunga story za uongo wakati jf nzima inanifahamu...
Mi nakuambia ukweli...
Unatia huruma sana, ila pole sana ulitaka kutengeneza fake couple kwa multiple IDs lakini wachambuzi wa mambo wakashtuka...
pole sana...
Hasa ukikumbuka zils moments maumivu kama yanaanza upya, ikija sura yake moyo unakufa ganzi.. ukiamka usiku wa manane unajikuta umelala mwenyewe.. maumivu yaanza upya..basi mm ni binti maumivu 🤣🤣
basi mm ni binti maumivu 🤣🤣
😂😂😂 Alooo.!! Basi ulipenda sana pole.Nilikuwa kama wewe.. hadi nilipojaa kwenye mfumo wa mtu.. ndio nilielewaa kwanini wanasema mapenzi yanaumaaa... ile kitu ni automatic maumivu hayo yanatimba kwa mtima...
Adi wewe 😂Acha tu bro kale kafeeling sio poa
Imagine watu tumeachwa tunasikilizia maumivu miaka 3 baadae
Unanyatia IG yake uone anafanya nini
Namba unayo unatamani upige ila dah
Ukikumbuka yale manjonjo....
Acha tu
😂 hili dude linakaribia maumivu ya mapenzi.Kinacho uma katika maisha yangu ni
View attachment 3045028
niliingia mzima mzima, sikuacha hata unywele mmoja.. nilifunga page zote.. nikawa kama malaika... kwake ila tumevuka hapo.. siku nikaja penda tena sijuii hahaha😂😂😂 Alooo.!! Basi ulipenda sana pole.
ila mapenzi hayana ubabe aseeeHasa ukikumbuka zils moments maumivu kama yanaanza upya, ikija sura yake moyo unakufa ganzi.. ukiamka usiku wa manane unajikuta umelala mwenyewe.. maumivu yaanza upya..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu alichochea nikaachwa mwezi wa pili, nae kaachwa wiki moja imepita, nimekutana nae kakonda kawa kama muathirika asie tumia dose..yani yule wa hatua za mwisho mwisho yani ndani ya wiki kaisha pyuuu.. kaa mbali na mapenzi kaa mbali na kuachwa
Odo shikamoo 😎ila mapenzi hayana ubabe aseee
Hatareeee tupuu.Mbona usiku na baridi hii jamani[emoji848]