Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu njaa haikukuuma kisawasawa wewe.!!Yasije nikute tena aisee.. maumivu yake usipime.. siku za mwanzo mwanzao.. nilihisi kama upande mmoja wa mwili haufanyi kazi , depresion nikisikia harufu ya chakula natapika.. week tatu kama nilikuwa motoni.. baada ya mwezi ndio nikaanza hata kula bila kutapika.. mtu sasa hivi nikimuona kwenye mambo ya mapenzi namtazama tu, ila sina hamu nayo wala kupenda sitaki tena
Ila we na ile couple yako na Kantri mlitesa enzi zenu, mliishia wapi?Mkuu njaa haikukuuma kisawasawa wewe.!!
Usile sababu ya mtu mzima mliyekutana ukubwani? Mwenye minjino 32 mengine yameoza na kutoboka?? 😹😹😹
Pole sana
Tatizo ni kufanya hisia hizi tamu ziendelee kuwa hai. Binadamu hawaaminiki, wako uncertain sana. Lakini kama trend ya mapenzi mazito ingekuwa maintained mpaka kufa, basi dunia ingekuwa nusu ya peponi.
Baada ya siku 2 unapambana na AzumaUsiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.
Achana na kumfuatilia fanya mambo yako. Wala usitake kujua amefanikiwa au amefeli maisha. Niko na jamaa namuelekeza kazi yeye maex wake wakinunua magari anasikitika anakosa hamu ya kula. Namuona bwegeAcha tu bro kale kafeeling sio poa
Imagine watu tumeachwa tunasikilizia maumivu miaka 3 baadae
Unanyatia IG yake uone anafanya nini
Namba unayo unatamani upige ila dah
Ukikumbuka yale manjonjo....
Acha tu
tena mate chini.. nilikuwaga na mie nasema kama wewe... ila nilipojaa kwenye mfumo.. nilielewa hata wengine ilikuwaje wakajiua wengine kujirusha kwenye vyombo vya usafiri.. zunguka tu.. ila usijae kwenye mfumoMkuu njaa haikukuuma kisawasawa wewe.!!
Usile sababu ya mtu mzima mliyekutana ukubwani? Mwenye minjino 32 mengine yameoza na kutoboka?? 😹😹😹
Pole sana
Kujiua tena?? 😹😹😹tena mate chini.. nilikuwaga na mie nasema kama wewe... ila nilipojaa kwenye mfumo.. nilielewa hata wengine ilikuwaje wakajiua wengine kujirusha kwenye vyombo vya usafiri.. zunguka tu.. ila usijae kwenye mfumo
yes, huwa inafika kipindi unaachia.. ila kabla ya kuachia kuna mateso sio ya kitotoKujiua tena?? 😹😹😹
Kemea pepo hilo, maisha yalivyo matamu nijiue??
Utapata mwingine utakayempenda mpk utajiona mjinga kujiliza kwa mtu km huyo.!!
Jifunze kumuacha aende, hiyo ni njia ya kufungua yule mtu sahihi kukufikia.
🤣🤣🤣🤣🙌Kuna mtu alichochea nikaachwa mwezi wa pili, nae kaachwa wiki moja imepita, nimekutana nae kakonda kawa kama muathirika asie tumia dose..yani yule wa hatua za mwisho mwisho yani ndani ya wiki kaisha pyuuu.. kaa mbali na mapenzi kaa mbali na kuachwa
maumivu yakd sio ya kitoto.. hasa sie wengine tulikuwa na ndoa kabisa.. aah.. hii kitu sikia kwa mwingine, ukifikwa na bwana maumivu ndio utajua.. kuna mahala unatamani iwe ndoto.. lakini waaapiiinilipendaga ilo lijamaa enzi izo mshamba wa mapenz sjui hata mshindo ni nini,, aaaloooooh badala anifundshe aliniacha kwa dharau sana 😫,, maumivu yaleeeee
Mapenzi hayaumi, watu ndio wanaumwa.Mimi sijawahi kuachwa, sina uhakika sana na uchungu wa kuachwa, lakini kupitia nyinyi nimejiridhisha kwamba mapenzi yanauma na matokeo yake ni kudhoofu afya na roho.
Pamoja na karaha zake asikwambie mapenzi ni matamu sana. Utamu wa mapenzi hakuna maneno ya kutosha kuelezea. Kwa waliowahi kupenda mnaweza kurejea kumbukumbu zile nyakati za mwanzo. Kuna kale kafeeling mlikuwa mnakasikia mkiwa mmezama kwenye dimbwi zito la mapenzi.
Usiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.
Hata mkipigana show inakuwa show inayoambatana na hisia kali zisizoelezeka. Mnajikuta ni kama mpo dunia ya kwenu peke yenu. Labda mtu mwingine hapa.anaweza kuelezq vizuri zaidi.
Tatizo ni kufanya hisia hizi tamu ziendelee kuwa hai. Binadamu hawaaminiki, wako uncertain sana. Lakini kama trend ya mapenzi mazito ingekuwa maintained mpaka kufa, basi dunia ingekuwa nusu ya peponi.
Mkuu bado zamu yako haijafika ya kuumwa. Kuumwa mapenzi ni kama foleniMapenzi hayaumi, watu ndio wanaumwa.
Mimi mbona sijawahi kuumwa na mapenzi?