Hahaha!! Umeoa bondia, pole sana mkuuHapa sijala nina siku saba!π
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..π’
We jamaa nini tena hiki? Yani unadhibitiwa na my Wife wako π π πHapa sijala nina siku saba!π
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..π’
Nimesoma kwa imagination kama vile nashuhudia tukio.Hapa sijala nina siku saba![emoji24]
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..[emoji22]
Hapa sijala nina siku saba!π
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..π’
Ahaaaaaa huyo mwanamke atakuwa mkurya aiseeeHapa sijala nina siku saba!π
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..π’
Pambana Na hali yako π€£Hapa sijala nina siku saba!π
Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.
Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.
Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..π’