Mkwe kwahiyo binti yangu umempanga🙆🙆🙆
Nimeghairi.
Hahaha ni wivu tu😂😂😂 tatizo amna anaekubali kuwa bwege ndio maana ndoa ngumu sana sikuhiziSame applied to men, hutakiwi kujiweka hadi akuone kuwa kwake haupumui wala hauhemi. Hamna rangi utaacha ona.
Ila daaah tumeyafanya mapenzi yamekuwa kitu cha ajabu, full kuviziana tu😂😂😂
Ni kweli mkuu ndo bila hekima hata kibaha tu hamfikiMkuu sina haja ya kubisha ila katika maisha ya ndoa nimejifunza mengi sana na mwisho nikaamua kupuuza baadhi ya mambo ili ndoa iwe na afya
Haha hatari jamaniMara nyingi ukiona mtu anatamka hivyo ujue yalishamkuta akanyooka hivyo hajali tena. Tena hawa wenzetu huwa nahisi wanaumia zaidi.
Kuna kaka yeye hata haikuwa mwanamke wake wa kwanza, ila ni mwanamke aliyekuwa ana expectations kubwa nae. Akamtambulisha hadi kwao kumbe bibie anapita njia tu. Sasa ikatokea bibie anataka kuolewa ila anashindwa jinsi ya kumwambia jamaa, ikabidi ajilipue tu kubadili namba na kutokuwa na mawasiliano. Jamaa akahangaika sanaa baadae ndio mashost wanamwambia bibie anaolewa. Hakuamini hadi alivyoona picha za harusi, alizimia na kulazwa juu. Alikondaaaa, ikabidi kazini apewe likizo kwanza akajiweke sawa.
Sasa hivi ni bonge la player hata hajali tena na anasema hana mpango wa kuoa.
Mara nyingi ukiona mtu anatamka hivyo ujue yalishamkuta akanyooka hivyo hajali tena. Tena hawa wenzetu huwa nahisi wanaumia zaidi.
Kuna kaka yeye hata haikuwa mwanamke wake wa kwanza, ila ni mwanamke aliyekuwa ana expectations kubwa nae. Akamtambulisha hadi kwao kumbe bibie anapita njia tu. Sasa ikatokea bibie anataka kuolewa ila anashindwa jinsi ya kumwambia jamaa, ikabidi ajilipue tu kubadili namba na kutokuwa na mawasiliano. Jamaa akahangaika sanaa baadae ndio mashost wanamwambia bibie anaolewa. Hakuamini hadi alivyoona picha za harusi, alizimia na kulazwa juu. Alikondaaaa, ikabidi kazini apewe likizo kwanza akajiweke sawa.
Sasa hivi ni bonge la player hata hajali tena na anasema hana mpango wa kuoa.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Bintiyo sijampanga usiwe na shaka. Nasubiri amalize shule tu kesi sitaki nataka niinjoy mie
Yaani mambo tafrani.Hahaha ni wivu tu[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo amna anaekubali kuwa bwege ndio maana ndoa ngumu sana sikuhizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningezimiaaa, nasema hivo kwa kua najijua, nikipenda ni mmoja tuu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Ni kweli mkuu ndo bila hekima hata kibaha tu hamfiki
mkuu nakuja pm mda si mrefuHuo nauita ubatizo wa moto, sasa sahivi umezaliwa upya katika maswala ya kimahusiano. Ukilizwa tena ujue umejitakia ila hivyo ndio gemu inavyokwenda. Kingine soma tabia za wanawake cheki makala mtandaoni. Zilinisaidia sana ikiwamo kufahamu kuwa the more you lurk around a woman the more he find you clingy.
Ukimuonesha kumjali sana KE anakuona uko weak sana it turns her off you should not be overnice.
The more you hurt yourfself pleasing her the more she feels insecure about you. Unatakiwa umjali kwa kiasi tu usijiumize kuonekana hero mbele yake maana mwisho atakuona kituko. Ndio walivyo hao.
Mwisho ujifunze kukaza, dont be a doormat sio kila unachoombwa unatoa tu. Vingine kataa, set standards zako mzee. Try to loose her at times analeta kwere, atajitudisha mwenyewe on track sio unafanyiwa vituko unang'ang'ania tu kama mamaako mzazi huyo. Let her loose akisepa ujue hakuwa wako
I feel you. Huenda huyo mtu hakuona future yoyote kwako, mapenzi hayalazimishwi. Wakati mwingine waoneeni huruma watu wanaowaacha, na wao wanastruggle kuwasahau. Sema hii side huwa hamuioni kwa vile mnakuwa mnaongozwa na lawama. Narudia tena, ni vigumu kuwa na mtu ambaye humpendi.Nashukuru sana, nimepoaa sasa
Siyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendoPongezi kwenu maana sisi wengine tukiingia kwenye mahusiano huwa tunapenda vibaya na tukitendwa inatukoti vibaya.
Kaka sina mengi sana ya kukuambia ila pole sana ndugu yangu but ilikuwaje shemeji kakuzingua au ulimfumania nini
Siyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendo
We give it all at once, .
Mimi siwezi kuuficha upendo Kama ninampenda mwanamke sure atajua 100%
Akizingua fresh tuu ila sijawahi kula kibuti , ila
Dalili zote za kibuti naziona nimekaa kando nasubiria tuuu
Aisee unasubiri maumivu una moyo mgumu mkuuSiyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendo
We give it all at once, .
Mimi siwezi kuuficha upendo Kama ninampenda mwanamke sure atajua 100%
Akizingua fresh tuu ila sijawahi kula kibuti , ila
Dalili zote za kibuti naziona nimekaa kando nasubiria tuuu
Aisee unasubiri maumivu una moyo mgumu mkuu
Nameza diclopar na pirton. [emoji23][emoji23]Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.