Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Same applied to men, hutakiwi kujiweka hadi akuone kuwa kwake haupumui wala hauhemi. Hamna rangi utaacha ona.

Ila daaah tumeyafanya mapenzi yamekuwa kitu cha ajabu, full kuviziana tu😂😂😂
Hahaha ni wivu tu😂😂😂 tatizo amna anaekubali kuwa bwege ndio maana ndoa ngumu sana sikuhizi
 
Mara nyingi ukiona mtu anatamka hivyo ujue yalishamkuta akanyooka hivyo hajali tena. Tena hawa wenzetu huwa nahisi wanaumia zaidi.

Kuna kaka yeye hata haikuwa mwanamke wake wa kwanza, ila ni mwanamke aliyekuwa ana expectations kubwa nae. Akamtambulisha hadi kwao kumbe bibie anapita njia tu. Sasa ikatokea bibie anataka kuolewa ila anashindwa jinsi ya kumwambia jamaa, ikabidi ajilipue tu kubadili namba na kutokuwa na mawasiliano. Jamaa akahangaika sanaa baadae ndio mashost wanamwambia bibie anaolewa. Hakuamini hadi alivyoona picha za harusi, alizimia na kulazwa juu. Alikondaaaa, ikabidi kazini apewe likizo kwanza akajiweke sawa.

Sasa hivi ni bonge la player hata hajali tena na anasema hana mpango wa kuoa.
Haha hatari jamani
 
Mara nyingi ukiona mtu anatamka hivyo ujue yalishamkuta akanyooka hivyo hajali tena. Tena hawa wenzetu huwa nahisi wanaumia zaidi.

Kuna kaka yeye hata haikuwa mwanamke wake wa kwanza, ila ni mwanamke aliyekuwa ana expectations kubwa nae. Akamtambulisha hadi kwao kumbe bibie anapita njia tu. Sasa ikatokea bibie anataka kuolewa ila anashindwa jinsi ya kumwambia jamaa, ikabidi ajilipue tu kubadili namba na kutokuwa na mawasiliano. Jamaa akahangaika sanaa baadae ndio mashost wanamwambia bibie anaolewa. Hakuamini hadi alivyoona picha za harusi, alizimia na kulazwa juu. Alikondaaaa, ikabidi kazini apewe likizo kwanza akajiweke sawa.

Sasa hivi ni bonge la player hata hajali tena na anasema hana mpango wa kuoa.

Ningezimiaaa, nasema hivo kwa kua najijua, nikipenda ni mmoja tuu
 
Pole bro yalinikuta pia Ila nikajifunza kitu kikubwa sana na pia yalinifanya niwe dhahabu na wewe afadhali hilo limetokea kabla ya ndoa so hapa mwambie Mungu ASANTE kwa kukuepusha na janga ambalo ungekutana nalo kwenye ndoa

Sure kwa sasa funzo ulilolipata au nililolipata Mimi limeniimarisha sana mpaka namshukuru Mungu .then ujue challenge no msingi mkubwa kwa anayejua maana ya maisha ila ni mateso sana kwa asiyejua maana ya maisha
 
Ulikosea sana mwanamke anapenda amani na Shari mwanamke usipompa Shari atakuona we boga upendo wa mwanamke hukamilika unapompa shoruba hafu unarudi unammanga hawezi kukuacha

Kutompa mwanamke changamoto lzm akutese wewe akipata anayejua hivo lzm akuache
 
Huo nauita ubatizo wa moto, sasa sahivi umezaliwa upya katika maswala ya kimahusiano. Ukilizwa tena ujue umejitakia ila hivyo ndio gemu inavyokwenda. Kingine soma tabia za wanawake cheki makala mtandaoni. Zilinisaidia sana ikiwamo kufahamu kuwa the more you lurk around a woman the more he find you clingy.
Ukimuonesha kumjali sana KE anakuona uko weak sana it turns her off you should not be overnice.
The more you hurt yourfself pleasing her the more she feels insecure about you. Unatakiwa umjali kwa kiasi tu usijiumize kuonekana hero mbele yake maana mwisho atakuona kituko. Ndio walivyo hao.
Mwisho ujifunze kukaza, dont be a doormat sio kila unachoombwa unatoa tu. Vingine kataa, set standards zako mzee. Try to loose her at times analeta kwere, atajitudisha mwenyewe on track sio unafanyiwa vituko unang'ang'ania tu kama mamaako mzazi huyo. Let her loose akisepa ujue hakuwa wako
mkuu nakuja pm mda si mrefu
 
Kaka sina mengi sana ya kukuambia ila pole sana ndugu yangu but ilikuwaje shemeji kakuzingua au ulimfumania nini
 
Nashukuru sana, nimepoaa sasa
I feel you. Huenda huyo mtu hakuona future yoyote kwako, mapenzi hayalazimishwi. Wakati mwingine waoneeni huruma watu wanaowaacha, na wao wanastruggle kuwasahau. Sema hii side huwa hamuioni kwa vile mnakuwa mnaongozwa na lawama. Narudia tena, ni vigumu kuwa na mtu ambaye humpendi.
Pole sana weeh.
 
Pongezi kwenu maana sisi wengine tukiingia kwenye mahusiano huwa tunapenda vibaya na tukitendwa inatukoti vibaya.
Siyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendo
We give it all at once, .

Mimi siwezi kuuficha upendo Kama ninampenda mwanamke sure atajua 100%
Akizingua fresh tuu ila sijawahi kula kibuti , ila
Dalili zote za kibuti naziona nimekaa kando nasubiria tuuu
 
Kaka sina mengi sana ya kukuambia ila pole sana ndugu yangu but ilikuwaje shemeji kakuzingua au ulimfumania nini

Ingekua bora, najua Ningesamehe, yaani sikutaka kumpoteza atoke mikononi mwangu
 
Siyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendo
We give it all at once, .

Mimi siwezi kuuficha upendo Kama ninampenda mwanamke sure atajua 100%
Akizingua fresh tuu ila sijawahi kula kibuti , ila
Dalili zote za kibuti naziona nimekaa kando nasubiria tuuu

Daaahh, bora ujitenge mapema usikutwe na bwana pepsi huyu, hakulipii afu anakuacha peke yako
 
Siyo tunapenda vibaya mkuu ni kwamba hatuwezi kuwa wanafiki kuuficha upendo
We give it all at once, .

Mimi siwezi kuuficha upendo Kama ninampenda mwanamke sure atajua 100%
Akizingua fresh tuu ila sijawahi kula kibuti , ila
Dalili zote za kibuti naziona nimekaa kando nasubiria tuuu
Aisee unasubiri maumivu una moyo mgumu mkuu
 
Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.
Nameza diclopar na pirton. [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom