Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Kuna post ulinichamba why nakuomba vocha nimekudharau Wewe huna pesa, wakati unazo za kushataa sababu ya jeuri yangu umehairisha na ukaniwekea pic ya dollar kunichoma roho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aiseee nilicheka balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Sasa tajiri ss hivi sikuombi vocha tena. Nakuomba mtaji kabisa sio kwa ile mi dollar [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Vibunda vyako vipo ukiwa tayari nipo paleee nakusubiri my wife[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Yes unajishaua kumbe bwana amezaa njee au mnaishi nyumba yakupanga bwana amemjengea kimada nyumba nakamnunulia gari nyie hamuaminiki
sasa mbegu si anazo na hela za kuhudumia pia, mtu mzima akishaamua jambo lake atalitekeleza tu.
 
Anaowataka ni wale wanaowaza mabillioni sio maelfu na hawamtaki sasa ndio ukweli anajikombaje hadi ameotwa kiparaa ,wananunuliwa marange yeye anatembelea IST wapi na wapi angewapenda saizi yake angeshaoa ila ni maisha yake[emoji6]

Wee kumbeee!! Usinambie shost anataka vitu vilivyomzidi kimo??
Yeye anywe alewe ajikojolee yaishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona kabisa kuliko kuumwa ugonjwa wa akili unaotokana na kuumizwa kimapenzi haswa kwa mtu uliyemuamini na kumkabidhi moyo wako na kuonesha mapenzi Yako ya dhati kwake.

Wasababishi wakuu wa hili tatizo kwa asilimia kubwa ni wanawake kutokana na tamaa zao wanawaacha wapenzi wao kisa tu hali ya kimaisha na kwenda kwa vibosile, inaumiza sana asikwambie mtu na kama huja experience basi bado hujakua au bado hujapenda.

Sasa ubaya wa hili tatizo unafanya wanaume wengi kuwa waongo waongo, kuwa walevi na kuwa wanunuzi wa "Mbususu" wachape zao wapite mbele.

Nyie wanawake dhambi ya usaliti itawatafuna mnapenda sana hela nyie kuliko mapenzi ya dhati.
Na sisi mnatutesa vivyohivyo....hivyo ni 😉
 
Kuna mmoja kanipigia juzi baada ya kuniacha miaka mitatu iliyopita kwa dharau kashazalishwa mtoto mmoja anataka turudiane wakati mimi sijawahi kurudiana na ex sema simlaumu kurudi maana kwa ile mikwara ya social network lazima arudi kweli wanawake wanapenda pesa.
 
Haya mambo yanaumiza sana nimegundua kwa nini usipotumia akili unaweza kuua au kujiua.
kuna binti nilimpenda sana,kuna siku alikuwa anahitaji ufafanuzi wa jambo fulani LA kiofisi nikamuunganisha na rafiki yangu ili ampe ufafanuzi.Badaye kuna siku tulikuwa wote kwa bahati mbaya nikashika simu yake nikaona wanawasiliana mara kwa mara-nikamuuliza kulikoni,akakiri huwa wanawasiliana tu kujuliana hali-niliumia sana,ingawa aliahidi ataacha na jamaa nae akikiri watasitisha mazoea.

Kwa kuwa jamaa tuko Ofisi mmoja Leo,sijui in Mungu-kwa bahati nikashika simu ya jamaa yangu nikaona SMS za binti,kwa kweli nimejisikia vibaya san.Mawazo ya kufanya jambo baya yamenijia akilini ghafla.
Acha upuuz huo kata mawasiliano kimya kimya wala jamaaa usimwambie wala huyo mdada kuwa busy Na mambo yako hisia zisikupelekeshe ukijua kuna wanawake weng hupat shida nao
 
Nishasema sitakaa niwe na mpenzi mmoja au wawili potelea mbele uko kuliko kuteswa ivi na mapenzi
 
Back
Top Bottom