Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Vibunda vyako vipo ukiwa tayari nipo paleee nakusubiri my wife[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Yes unajishaua kumbe bwana amezaa njee au mnaishi nyumba yakupanga bwana amemjengea kimada nyumba nakamnunulia gari nyie hamuaminiki
sasa mbegu si anazo na hela za kuhudumia pia, mtu mzima akishaamua jambo lake atalitekeleza tu.
 
Anaowataka ni wale wanaowaza mabillioni sio maelfu na hawamtaki sasa ndio ukweli anajikombaje hadi ameotwa kiparaa ,wananunuliwa marange yeye anatembelea IST wapi na wapi angewapenda saizi yake angeshaoa ila ni maisha yake[emoji6]

Wee kumbeee!! Usinambie shost anataka vitu vilivyomzidi kimo??
Yeye anywe alewe ajikojolee yaishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na sisi mnatutesa vivyohivyo....hivyo ni πŸ˜‰
 
Kuna mmoja kanipigia juzi baada ya kuniacha miaka mitatu iliyopita kwa dharau kashazalishwa mtoto mmoja anataka turudiane wakati mimi sijawahi kurudiana na ex sema simlaumu kurudi maana kwa ile mikwara ya social network lazima arudi kweli wanawake wanapenda pesa.
 
Acha upuuz huo kata mawasiliano kimya kimya wala jamaaa usimwambie wala huyo mdada kuwa busy Na mambo yako hisia zisikupelekeshe ukijua kuna wanawake weng hupat shida nao
 
Syo weekend tu,yaani ni mwanzoni kabisa mwa mwezi hapo ukute mshahara wote umeisha.kiufupi furaha utaiskia tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Unakosa hata wa kukufariji πŸ˜‚
 
Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona
😳😳😳😳 usikufuru kisa mbususu ,kuumwa ni hatari sana ,kuumizwa kisa mapenzi ni kujiendekeza.
 
Nishasema sitakaa niwe na mpenzi mmoja au wawili potelea mbele uko kuliko kuteswa ivi na mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…