Mapenzi yanaumiza sana

Sasa nimekuelewa๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Ninakaa kwa utulivu kabisa Eli.au nishindwe halafu nikwambie!!๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimecheka aisee, ukishindwa niambie ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimecheka aisee, ukishindwa niambie ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
Cheka tu Eli hakuna namna..๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Nimebakiza masaa machache sana ya kukwambia Mr Arsenal
 
nakuja...sijui mbona hutokei baba loo nakuja[emoji444][emoji444][emoji444]
Haya yasiwe matumaimi hewa,[emoji39][emoji39][emoji39] halafu yule crush wako tumekubaliana tumwambieje sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya yasiwe matumaimi hewa,[emoji39][emoji39][emoji39] halafu yule crush wako tumekubaliana tumwambieje sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hutokei tena jamani.. niko hapa nje nakusubiri

Yule haambiwi kitu

analindwa kama lile yai lililotoka kutagwa sasa hivi.sitaki baya lolote limpate wala mbu yoyote amngโ€™ate.
 
Mbona hutokei tena jamani.. niko hapa nje nakusubiri

Yule haambiwi kitu

analindwa kama lile yai lililotoka kutagwa sasa hivi.sitaki baya lolote limpate wala mbu yoyote amngโ€™ate.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ