Mapenzi yanaumiza sana

Mapenzi yanaumiza sana

Ni kweli, kusamehe ni ngumu sana. Kuna wakati unaamini kua umesamehe mara ghafla maumivu/hasira vinarudi up ya.
Wengine kusamehe wanaona kama ni kuhalalisha ubaya uliotendewa lakini amini nakuambia, kusamehe kunamuweka mtu huru sana. Hilo la kua unaachana na mtu bila sababu ya msingi ni kwa ajili ya kutosamehe # Forgive and Let go#

Huwezi amini hii nimeshindwa kuifuta, na siwezi ku-icontrol. Naweza kuachana na mtu bila kuwa na tatizo lolote yaani.

Na muhusika hata sina tatizo naye, we are good in our own ways.
 
Huwezi amini hii nimeshindwa kuifuta, na siwezi ku-icontrol. Naweza kuachana na mtu bila kuwa na tatizo lolote yaani.

Na muhusika hata sina tatizo naye, we are good in our own ways.
Daaaaah!
Pole sana mkuu. Nakosa hata cha kusema. Nakuelewa, been there...
It was never easy ila namshukuru Mungu sana sana kwamba I finally (truly) forgave and let go.
 
Ghafla miguu yangu imeanza kufa ganzi.... Wewe Aboki rudi jamani dah! [emoji849]
 
Back
Top Bottom