Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Ebu acha uwongo jamani kwahiyo unakufwa na utamu wako
Bora nife nao wakafaidi sisimizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu acha uwongo jamani kwahiyo unakufwa na utamu wako
Bhana bhana Kuna mtu kashaupandisha tayari😂 sasa sielewi nachofeel Ni wivu, mapenzi au hasira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanakuumiza wewe...sisi twateleza tu,
Hivi bado kuna watu(vichaa) wanapendana?
aaaah wap...mimi sijui hata kupenda kuna kua jeUnajishaua
Nyie ndo mnakufaga Kwa kihoro
Anakimbia kivuli chakeHuwezi tafakari Jambo ambalo halijakukuta
07.... Nipe namba zakeguys niko kwenye wakati mgumu mno wa kumtuliza mtu mapenzi yanaumiza mno aiseh..mpka namuonea huruma.nikiwa free nitarudi kureply comments zenu.[emoji1635]
Hahaha....mimi ni daktari wa kienyeji naweza kukutibu hiyo sehemu ukapona kabisa mkuuWa kienyeji endelea kukaa kwenye nafasi yako.tangu lini ukawa docteri [emoji1]
Wakati ukifika kilakitu kitakaa sawa Chief.Hii principal ya kusamehe huwa iko tricky, binafsi nilisha accept situation, ila nimejikuta niko insensitive na issue za mapenzi.
Naweza kumwona mtu nikamwelewa, nikafanya harakati zote mpaka mahusiano yakawepo, ila nakuwa nayachukulia kama relationship ya kawaida, na muda wowote naachana na mtu halafu bila sababu ya msingi.
Nitaanzia wapi kukulia bati wewe mrembo