Ni kweli, kusamehe ni ngumu sana. Kuna wakati unaamini kua umesamehe mara ghafla maumivu/hasira vinarudi up ya.
Wengine kusamehe wanaona kama ni kuhalalisha ubaya uliotendewa lakini amini nakuambia, kusamehe kunamuweka mtu huru sana. Hilo la kua unaachana na mtu bila sababu ya msingi ni kwa ajili ya kutosamehe # Forgive and Let go#
Daaaaah!Huwezi amini hii nimeshindwa kuifuta, na siwezi ku-icontrol. Naweza kuachana na mtu bila kuwa na tatizo lolote yaani.
Na muhusika hata sina tatizo naye, we are good in our own ways.
Daaaaah!
Pole sana mkuu. Nakosa hata cha kusema. Nakuelewa, been there...
It was never easy ila namshukuru Mungu sana sana kwamba I finally (truly) forgave and let go.
Ni kweli!Thanks nafikiri inategemea na mtu unayempata.
I am currently in good hands, I hope I stay!
Pole sana kipenziNimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
NaamMapenzi Ni km misimu ya mwaka, Kuna kipupwe kiangazi na masika, kuumizwa si ajabu kabisa
Ebu acha uwongo jamani kwahiyo unakufwa na utamu wakoPole darling wangu kua single tu kama mimi
Miss you sweetheartNaam
Miss you too cha wivu wake mtu [emoji847]Miss you sweetheart
ππππ UmeniwezaMiss you too cha wivu wake mtu [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeniweza
Mama kivuruge,πππ wivu Hadi natapika itabidi nipunguze nisije jifia bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nikiona thread inahusu mambo ya wivu kwenye kichwa ananijia Noelia
Ohooo teeenaaa anyways pole mama japo umetupa maelezo tu picha tushaichora.Nimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama kivuruge,[emoji23][emoji23][emoji23] wivu Hadi natapika itabidi nipunguze nisije jifia bure