Mapenzi yanaumiza sana

Mapenzi ni kitu cha kawaida sana, ila watu wanavyo yachukulia ndo tatizo lilipo.
Nwei ahsante kwa maono yako, miss moaah kipendhiiih.
Kwani wewe unaishi dunia gani kipenzi.

Miss you more
 
Wakati ukifika kilakitu kitakaa sawa Chief.

2015 ni mwaka ambao niliwashwa tukio zito sana.nilikuwa kama wewe aise.ila siku ngapi hizi naona inakuja inakata😄😄hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…