Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi anafia kwa muuza supuMtoto mzuri kama ww unaumiaje na mapenzi? magentlemen kama sisi kazi yetu nini sasa.
Karibu sana mrembo nikupe pumziko la kweli
Asante dea,Ndio ni wimbo.Pole sana.ni wimbo huo ee
Polee..🤣🤣Hebu huko na wewe😄😄
Tulia hivyo hivyo! Yataenda poa tu!Wacha bhana
Unaliaje njaa wakati vyakula vimejaa kwenye Kabati, kwenye friji na matunda kila kona?Ehee bado yanauma..nasikia yanapanda na damu kuja maeneo ya shingoni 😄😄
Kila nikikuona moyo wangu unafanya paahSamehe ili uwe huru. Najua ni ngumu sana kusamehe ila ukidhamiria utafanikiwa na maumivu yataisha.
Hii ni kweli kabisa aise..kuna mtu anaumia sasa hivi kwa ajili yako.
Jipe muda mambo yatakaa sawa
Usisahau kupasha maana vingine vyaweza kuwa na bacteria 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Ngoja nivitoe nivikule