Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Na wao Jana waliipata freshPole sana mkuu hii situation nnayo ata mimi, ndo maana hadi mda huu nko macho.
Usingizi hauji ni stress tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wao Jana waliipata freshPole sana mkuu hii situation nnayo ata mimi, ndo maana hadi mda huu nko macho.
Usingizi hauji ni stress tupu.
Tafuta tu pesa! Utakuja nishukuru baadaeHujamfanyia Reseach ndomana yanakukuta hayo, Fanya Reseach yako vizuri ukipata majibu hatakusumbua.
Usikurupuke tuu l
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkikuwa mtaacha huu ujinga. Yani unateseka kisa mwanamke? Unakosa usingizi kisa mwanamke?
Hapo mnalazimisha mapenzi nyie shtukeni hampendwi mna force watu ambao wana watu wao wanaowapenda.
Nyie endeleeni kushika mapembe wenzenu wanakamua. Wakati hajibu text zako na wewe unakesha kwa kukosa usingizi mwenzako yupo huko anazungusha mauno ya shetani wala hana habari na wewe.
OpKweli Nina ugonjwa wa akili,I just depend on a woman mpka najishtukia namfanya ajione yeye ni mungu mtu kuwa namtafuta tafuta mda wote.
WAchaaa😄😄Pole sana mkuu hii situation nnayo ata mimi, ndo maana hadi mda huu nko macho.
Usingizi hauji ni stress tupu.
Tafuta tu pesa! Utakuja nishukuru baadae
Tafuta pesa mapenzi yatajileta yenyewe.
Na akirudi amfanye awe mtumwa wake kimapenzi.Usikubali kuumia peke yako we Bata jaribu kumfanyia tuvitu very touching si lazima viwe vikubwa no vidogo tu just do it kwa muda fulani,halafu Kama haendelei kuonyesha interesting sitisha kila kitu namaanisha mawasiliano,ukaribu n.k we tulia Kama huoni mwenyewe ataona Kuna pengo atavimiss hivyo ulivyokuwa unavifanya atakurudia.. Kama hatarudi ndugu tafuta mwengine.. hisia za mapenzi haziumagi muda wote Kuna muda jua tu zitaisha so jipe matumaini utapita hicho kipindi maisha yatasonga