Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Pole sana mkuu hii situation nnayo ata mimi, ndo maana hadi mda huu nko macho.
Usingizi hauji ni stress tupu.
Na wao Jana waliipata fresh

IMG-20210509-WA0003.jpg
 
Ulishajiuliza swali la kiuhalisia kama ana mchumba au wachumba akiwapima ili apate wa kuchagua au awatumie na kuwaacha solemba? Je wewe umejiridhishaje kuwa anakupenda au hata kukujali achia mbali kukupenda? Je ushawasilisha malalamiko yako kwake?
 
hapo kuna 2, huenda ni koloni la mtu au ashaumizwaga nyuma hivo hamwamini mtu tena, chakufanya mchunie kama atakimya mpotezee mazima bt kama atakutafuta jaribu kutafiti kiini cha tatizo ulifanyie kazi.
 
Mkikuwa mtaacha huu ujinga. Yani unateseka kisa mwanamke? Unakosa usingizi kisa mwanamke?

Hapo mnalazimisha mapenzi nyie shtukeni hampendwi mna force watu ambao wana watu wao wanaowapenda.

Nyie endeleeni kushika mapembe wenzenu wanakamua. Wakati hajibu text zako na wewe unakesha kwa kukosa usingizi mwenzako yupo huko anazungusha mauno ya shetani wala hana habari na wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usikubali kuumia peke yako we Bata jaribu kumfanyia tuvitu very touching si lazima viwe vikubwa no vidogo tu just do it kwa muda fulani,halafu Kama haendelei kuonyesha interesting sitisha kila kitu namaanisha mawasiliano,ukaribu n.k we tulia Kama huoni mwenyewe ataona Kuna pengo atavimiss hivyo ulivyokuwa unavifanya atakurudia.. Kama hatarudi ndugu tafuta mwengine.. hisia za mapenzi haziumagi muda wote Kuna muda jua tu zitaisha so jipe matumaini utapita hicho kipindi maisha yatasonga
 
Usikubali kuumia peke yako we Bata jaribu kumfanyia tuvitu very touching si lazima viwe vikubwa no vidogo tu just do it kwa muda fulani,halafu Kama haendelei kuonyesha interesting sitisha kila kitu namaanisha mawasiliano,ukaribu n.k we tulia Kama huoni mwenyewe ataona Kuna pengo atavimiss hivyo ulivyokuwa unavifanya atakurudia.. Kama hatarudi ndugu tafuta mwengine.. hisia za mapenzi haziumagi muda wote Kuna muda jua tu zitaisha so jipe matumaini utapita hicho kipindi maisha yatasonga
Na akirudi amfanye awe mtumwa wake kimapenzi.
 
Jifunze kuishi bila yeye.
Maisha ni mafupi utakuja jutia mwisho wa siku kwa kushindwa kutengeneza furaha yako mwenyewe ukategemea upatiwe na mtu mwingine
 
Back
Top Bottom