BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Please share with this forum.
yaaani umenikumbusha mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaaani umenikumbusha mbali sana
"whaaaaat a sensational goal from kingkongtz and comeback has completed"mi kuna demu nilimwelewaga Sana ila akawa hanijibu text ,piga simu anapokea kwa kujiskia,(alinitesa Sana huyu ngamia)asa Kuna siku nmeshka cm yake nikakutana na picha zangu nying Sana nikashindwa kuelewa kabsa.
Yaan picha zangu anazo nying ila kwenye mawasiliano mi ndo namtafuta tu mpka nikahisi ananiona Kama alien [emoji3].
nikaamua Sasa na mimi kumchezea hisia zake.
*kila siku tuma sms
*Kila siku nampigia simu
*Kila siku namsifia sifia
*vizawad zawad vidogo vdogo
*WhatsApp nampost af nahide watazamaji namuacha yy tu[emoji3]
Baada ya kuona amejaaa amelainika Sana nikawa sijibu sms na calls zake kipind icho nimepata manz mwingine.
aiseee alikuw anajileta had geto analiaaa mpka najiuliza ni huyu huyu alinifanya mtoto wa mfalme.
aliniandikia text "nateseka Sana unavyokuw hujibu sms zangu najiona kama Sina thaman dunian.please naomba usinifanyie ivo tafadhali.(saiv amebak n wa kupasha kiporo ila Sina hisia nae Tena.)
USHAURI:MWANAMKE/MSICHANA YEYOTE YULE ANAUMIA SANA PALE UNAPOMKALIA KIMYA NA KUACHA KUMTAFUTA.PIGA KIMYA WEEK UONE KAMA HAJAKUTAFUTA,ASIPOKUTAFUTA IAMBIE AKILI YAKO KUWA UNAKAZ PIA YA KUTAFUTA MKWANJA.
Sasahivi ndo zangu,nikianzisha mahusiano na demu namkolozea kwa sms na calls speed 120 mpaka aseme huyu jamaa kapenda kufa.namlia timing ya kumgegeda nikimaliza baaaaaas.
Kumbuka mabaya yote, pili fikiri unachofaidi niniEbu nishauri naponaje,nataka kutoka humu mazima nsirudiko tena
Wakati wewe unalialia hapa Kuna mwamba anapelekewa bure bure. Tena jamaa akinuna huyo demu anakosa raha. [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Acha ujinga wewe tafuta papuchi nyingine uchakateHabarini wakuu
Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.
Hajibu text zangu mpaka pale anapojisikia, nampigia hapokei yaani yeye ananitafuta akipenda yeye.
Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.
Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku.
Ukweli mchunguWakati wewe unalialia hapa Kuna mwamba anapelekewa bure bure. Tena jamaa akinuna huyo demu anakosa raha. [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Acha ujinga wewe tafuta papuchi nyingine uchakate
Nipe mbinu ya ku Track mkuuHayo mambo ndo yananitokea na mimi, nahisi tayari ana mtu mwingine ila tayari nimeshapata ujuzi wa kumTrack, nasubiri ajichanganye tu niipate simu yake nifanye yangu kisha nikijihakikishia ninachokiwaza mapenzi yataisha hapohapo hata kama nampenda sana.
Hana hela mkuu huyo nae kamsanukia jamaa hana hela amechomoa betri sasa jamaa analia! Wewe uliona wapi mwanaume mwenye Akili , hadhi na pesa akililia Mwanamke? Kama sio masikini Bill gate ni mf wamepeana Talaka na Belinda Maisha yanaendelea Bill gate ana wanawake LundoMnyamazie na wewe tena kama unaweza mblock kbs. Usiendekeze ngona na mapenzi utakuja kujuta na huu ulimwengu. Na unakaaje na mwanamke mmoja huo ni uzembe. Mchunie kabisa.
ProceduresMzee kila nkijaribu wapi, halafu ni kama ashajua kwamba nampenda ile kinoma yani ndo maana anafanya hivi,yani anajua kabisa anitafute asinitafute am very weak kwake lazima ntamsumbua wee ndo apokee niomgee naye,anajua kabisa siwezi lala bila kumwambia usiku mwema ila leo nakausha tuone,labda ntaanza kumsahau polepole.