Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Habarini wakuu

Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.

Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.

Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.

Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku
Achana naye,tafuta saizi yako..nyie ndo mnagongewaga baadaye mnaanza kulaumu..kunbe hukupendwa toka mwanzo ila ulihurumiwa tu🤣🤣
 
mi kuna demu nilimwelewaga Sana ila akawa hanijibu text ,piga simu anapokea kwa kujiskia,(alinitesa Sana huyu ngamia)asa Kuna siku nmeshka cm yake nikakutana na picha zangu nying Sana nikashindwa kuelewa kabsa.

Yaan picha zangu anazo nying ila kwenye mawasiliano mi ndo namtafuta tu mpka nikahisi ananiona Kama alien [emoji3].

nikaamua Sasa na mimi kumchezea hisia zake.
*kila siku tuma sms
*Kila siku nampigia simu
*Kila siku namsifia sifia
*vizawad zawad vidogo vdogo
*WhatsApp nampost af nahide watazamaji namuacha yy tu[emoji3]


Baada ya kuona amejaaa amelainika Sana nikawa sijibu sms na calls zake kipind icho nimepata manz mwingine.

aiseee alikuw anajileta had geto analiaaa mpka najiuliza ni huyu huyu alinifanya mtoto wa mfalme.

aliniandikia text "nateseka Sana unavyokuw hujibu sms zangu najiona kama Sina thaman dunian.please naomba usinifanyie ivo tafadhali.(saiv amebak n wa kupasha kiporo ila Sina hisia nae Tena.)


USHAURI:MWANAMKE/MSICHANA YEYOTE YULE ANAUMIA SANA PALE UNAPOMKALIA KIMYA NA KUACHA KUMTAFUTA.PIGA KIMYA WEEK UONE KAMA HAJAKUTAFUTA,ASIPOKUTAFUTA IAMBIE AKILI YAKO KUWA UNAKAZ PIA YA KUTAFUTA MKWANJA.

Sasahivi ndo zangu,nikianzisha mahusiano na demu namkolozea kwa sms na calls speed 120 mpaka aseme huyu jamaa kapenda kufa.namlia timing ya kumgegeda nikimaliza baaaaaas.
 
Hehe.. offer kitu blo, mimi week juzi nmemsukisha kattotorito Cha watu "passion twist" nywele izo kama 45k ivi.. apa najipigia kama vile mm ndo bwana akeh[emoji23][emoji23][emoji23].. NB nimeacha kutongoza zamani ata sikumbuki namna.. am too lazy
 
Hehe.. offer kitu blo, mimi week juzi nmemsukisha kattotorito Cha watu "passion twist" nywele izo kama 45k ivi.. apa najipigia kama vile mm ndo bwana akeh[emoji23][emoji23][emoji23].. NB nimeacha kutongoza zamani ata sikumbuki namna.. am too lazy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Lakini pia ni matamu sana ukibahatika kuyapata mapenzi ya kweli. Saa zote una tabasamu tu hata ukiwa usingizini tabasamu la nguvu. Au nasema uongo ndugu zangu? [emoji12][emoji12]
Sema babaaaaa
 
Mkikuwa mtaacha huu ujinga. Yani unateseka kisa mwanamke? Unakosa usingizi kisa mwanamke?

Hapo mnalazimisha mapenzi nyie shtukeni hampendwi mna force watu ambao wana watu wao wanaowapenda.

Nyie endeleeni kushika mapembe wenzenu wanakamua. Wakati hajibu text zako na wewe unakesha kwa kukosa usingizi mwenzako yupo huko anazungusha mauno ya shetani wala hana habari na wewe.
ngoja ushikwe ulete ushuhuda, haya mambo hayana mwenyewe
 
uzi wako ni mfupi mno,shusha nyuzi ueleze yote anayokufanyia ili tujue wapi unakosea..

vilevile uzi bila picha haujakamilika
 
mi kuna demu nilimwelewaga Sana ila akawa hanijibu text ,piga simu anapokea kwa kujiskia,(alinitesa Sana huyu ngamia)asa Kuna siku nmeshka cm yake nikakutana na picha zangu nying Sana nikashindwa kuelewa kabsa.

Yaan picha zangu anazo nying ila kwenye mawasiliano mi ndo namtafuta tu mpka nikahisi ananiona Kama alien [emoji3].

nikaamua Sasa na mimi kumchezea hisia zake.
*kila siku tuma sms
*Kila siku nampigia simu
*Kila siku namsifia sifia
*vizawad zawad vidogo vdogo
*WhatsApp nampost af nahide watazamaji namuacha yy tu[emoji3]


Baada ya kuona amejaaa amelainika Sana nikawa sijibu sms na calls zake kipind icho nimepata manz mwingine.

aiseee alikuw anajileta had geto analiaaa mpka najiuliza ni huyu huyu alinifanya mtoto wa mfalme.

aliniandikia text "nateseka Sana unavyokuw hujibu sms zangu najiona kama Sina thaman dunian.please naomba usinifanyie ivo tafadhali.(saiv amebak n wa kupasha kiporo ila Sina hisia nae Tena.)


USHAURI:MWANAMKE/MSICHANA YEYOTE YULE ANAUMIA SANA PALE UNAPOMKALIA KIMYA NA KUACHA KUMTAFUTA.PIGA KIMYA WEEK UONE KAMA HAJAKUTAFUTA,ASIPOKUTAFUTA IAMBIE AKILI YAKO KUWA UNAKAZ PIA YA KUTAFUTA MKWANJA.

Sasahivi ndo zangu,nikianzisha mahusiano na demu namkolozea kwa sms na calls speed 120 mpaka aseme huyu jamaa kapenda kufa.namlia timing ya kumgegeda nikimaliza baaaaaas.
Yes. Demu ukiacha kumtafuta inamuumiza sana.
 
mi kuna demu nilimwelewaga Sana ila akawa hanijibu text ,piga simu anapokea kwa kujiskia,(alinitesa Sana huyu ngamia)asa Kuna siku nmeshka cm yake nikakutana na picha zangu nying Sana nikashindwa kuelewa kabsa.

Yaan picha zangu anazo nying ila kwenye mawasiliano mi ndo namtafuta tu mpka nikahisi ananiona Kama alien [emoji3].

nikaamua Sasa na mimi kumchezea hisia zake.
*kila siku tuma sms
*Kila siku nampigia simu
*Kila siku namsifia sifia
*vizawad zawad vidogo vdogo
*WhatsApp nampost af nahide watazamaji namuacha yy tu[emoji3]


Baada ya kuona amejaaa amelainika Sana nikawa sijibu sms na calls zake kipind icho nimepata manz mwingine.

aiseee alikuw anajileta had geto analiaaa mpka najiuliza ni huyu huyu alinifanya mtoto wa mfalme.

aliniandikia text "nateseka Sana unavyokuw hujibu sms zangu najiona kama Sina thaman dunian.please naomba usinifanyie ivo tafadhali.(saiv amebak n wa kupasha kiporo ila Sina hisia nae Tena.)


USHAURI:MWANAMKE/MSICHANA YEYOTE YULE ANAUMIA SANA PALE UNAPOMKALIA KIMYA NA KUACHA KUMTAFUTA.PIGA KIMYA WEEK UONE KAMA HAJAKUTAFUTA,ASIPOKUTAFUTA IAMBIE AKILI YAKO KUWA UNAKAZ PIA YA KUTAFUTA MKWANJA.

Sasahivi ndo zangu,nikianzisha mahusiano na demu namkolozea kwa sms na calls speed 120 mpaka aseme huyu jamaa kapenda kufa.namlia timing ya kumgegeda nikimaliza baaaaaas.
Hii formula inaitwaga 4:4:2 😂😂😂
 
Habarini wakuu

Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.

Hajibu text zangu mpaka pale anapojisikia, nampigia hapokei yaani yeye ananitafuta akipenda yeye.

Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.

Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku.

Hana sura ya kuvutia lkn anakutesa..
Hahaha
 
Lakini pia ni matamu sana ukibahatika kuyapata mapenzi ya kweli. Saa zote una tabasamu tu hata ukiwa usingizini tabasamu la nguvu. Au nasema uongo ndugu zangu? 😜😜
yaaani umenikumbusha mbali sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom