Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Ilishawah kutaka kuntokea kama ww nikagundua stress zinakuja kama ukiwa huna kitu cha kukeep bize cha kushauri jaribu kujichanganya kwa watu kama hauna kazi. Kama ni swala la ngono piga ata selfie furaha Zaid utapata Kwny smartphone yako somasoma comment Kwny akaunt za mastaa utafurah tu. KUBWA LAO FANYA UTAFUTE PESA MJOMBA UNA HALI MBAYA yawezekana.
 
Mkuu inawezekana demu pia anakupenda ila anakufanyia maringo kwasababu ameshajua unampenda. Akili zao huwa zinashangaza sometimes. Nakushauri uache mawasiliano nae huyo demu, yaani kaa kimya kabisa, ukikaa kimya itamuuma kwasababu mademu wanapenda attention. Kama anakupenda atakutafuta tu hata kama ni baada ya miezi kadhaa.
Pia muombe Mungu akupe utulivu wa akili kipindi hiki ili usitetereke kwenye mambo yako mengine ya kimaisha. Hata hasipokutafuta tena, utavuka salama tu kipindi hiki unachopitia, ni swala la muda tu.
Usimpe moyo dem hampendi muhun
 
Mingeshafuta namba on the spot huwa sina uvumilivu wa kipuuzi na hivyo sinaga habari za kuteswa eti nimependa
 
Kumpenda mtu Ni Jambo moja na Kupendwa Na Unaempenda Ni Jambo Lingine.

MKUU HEBU CHUKUA HII ITAKUSAIDIA MAISHANI.
 
Niliwahi msotea bibie mmoja hivi walahi kumbe wana wanapiga kwa ofa za Nyagi dry tena kischana pekee shughuli unamaliza.
 
Aaa ki ukweli mimi nashukuru mungu mtoto(mama watoto wangu) huyu niliye naye ananipenda jamani khaa.
Kwa anayependwa,hivi Kweli kila unayempenda lazima arudishe yale mapenzi kwako?
 
Habarini Wakuu

Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.

Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.

Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.

Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!
Hahaha unateketea we lorry la mafuta?
 
Mzee kila nkijaribu wapi, halafu ni kama ashajua kwamba nampenda ile kinoma yani ndo maana anafanya hivi,yani anajua kabisa anitafute asinitafute am very weak kwake lazima ntamsumbua wee ndo apokee niomgee naye,anajua kabisa siwezi lala bila kumwambia usiku mwema ila leo nakausha tuone,labda ntaanza kumsahau polepole
Mademu kumbe bado huwajui, we piga kimya siku nzima jikaze tu kiume, mwenyewe atakutafuta then ringa wew sasa
 
Habarini Wakuu

Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.

Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.

Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.

Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!
pole
 
Nakubali na hii comment jamaa anaonekana hana hela huyu na demu akishajua huna hela anakuringia maana anajua huna ujanja wa kuwa na wanawake wengine sababu pesa huna...

Tafuta hela uone adabu inarudi
Nakazia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nkajua ni mimi tu hapa nshaomba msamaha kwa kosa ambalo hata sijui ni lipi sijasamehewa naambiwa ana mengi kichwani maisha haya jamani
😂 Mkuu pole inaumiza kweli jaribu ku move on .... Ila ni matamu sema stress zake..
 
Back
Top Bottom