Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ila naona ni kama Nina kaugonjwa kwa obsessive love disorder ndo maana haya yananikuta
Hakuna ka ugonjwa hapo ni umejiendekeza tu. Ukiendelea hivyo atakuua huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila naona ni kama Nina kaugonjwa kwa obsessive love disorder ndo maana haya yananikuta
Huna cha obsessive love disorder wala nini....ukweli ni kuwa huna hela
Ukiwa huna hela unakuwa penda penda
Sawa Mr.Loveboy?
Ushauri wa busara huu.Achana na mapenzi fanya shughuli zingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunywa maji mengi ya uvuguvugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna cha obsessive love disorder wala nini....ukweli ni kuwa huna hela
Ukiwa huna hela unakuwa penda penda
Sawa Mr.Loveboy?
Au nasema uwongo ndugu yangu?[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mara yako ya kwanza kupendaHabarini Wakuu
Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.
Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.
Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.
Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!
The naked truth [emoji1666][emoji1666][emoji1666] kunywa Pepsi big nakuja kulipaShtuka na acha kulia lia kwake kwa kuwa tayari ukweli ameshaujua kuwa unampenda sana. Ukiendelea na mwenendo huo atakuendesha mpaka ukome na kumuacha itakuwa ngumu. Hawa viumbe hawapendi wanaume wa kulia lia, be rude kiasi then fanya mambo yako ukijishusha sana kwake anakuona fala na ataona hustahili kuwa mwanaume wake.
Inaonesha kwenye mahusiano bado ujaiva ndio mgeni au nakosea?
Mim kuna mmoja nilikua nadate nae anachowaza yeye ni ndoa tu na kulazimisha mambo nikamuelekeza mambo huwa yanafata taratibu, likawa ni kosa kumueleza hivyo akaja juu oh tuachane na usinijue/usinitafute kuanzia leo futa na namba zangu uwe na maisha mema nikacheka sana alafu nikamjibu poa kila la kheri nikakata simu.
[emoji16][emoji16] asubuhi kesho yake akanitafuta analia nmsamehe amekosea nkamwambia hajakosea kuusikiliza moyo wake na kufanya maamuzi sahihi ishi kwenye uliyoyasema jana nikakata simu. Hawa baadhi ukikubali akuendeshe anavyotaka yeye utaisoma namba atakugeuza msukule.
Ushakuwa bwegeHabarini Wakuu
Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.
Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.
Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.
Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!
The naked truth [emoji1666][emoji1666][emoji1666] kunywa Pepsi big nakuja kulipa
Time heals everything !!! Nlivoweza kumpotezea ndonkaja gunduaa na miguu yake imepindia ndani mchaga yuleeeHabarini Wakuu
Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.
Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.
Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.
Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!
Polee kaka namieee nlikuwa kwa hali hi miez miwwili iliopitaa, jipe mudaPole sana mkuu hii situation nnayo ata mimi, ndo maana hadi mda huu nko macho.
Usingizi hauji ni stress tupu.
Kweli ngoja nkaushe[emoji23][emoji23]Mapenzi ni matamu sana. I can tell. Ila kuna time yanakupeleka mputaaa balaa[emoji23][emoji23]
Ila mapenzi si mabaya. Ni matamu sana. Sana sana sana. Ni sisi wanadamu. Binafsi sipendi kumtesa partner wangu. Heshima ndo kila kitu. Huyo mpenzi wako mpe space atakukumbuka tu. Uzuri haya mapenzi unamuacha wako ahangaike hukoo weee akichoka akishapigwa matukio ndo anarudi. Uzuri ama ubaya asijekukuta umeshamove on tu hapo no ataimba apeche alolo[emoji23][emoji23]
Nakubali na hii comment jamaa anaonekana hana hela huyu na demu akishajua huna hela anakuringia maana anajua huna ujanja wa kuwa na wanawake wengine sababu pesa huna...Huna cha obsessive love disorder wala nini....ukweli ni kuwa huna hela
Ukiwa huna hela unakuwa penda penda
Sawa Mr.Loveboy?
Habarini Wakuu
Nampenda mtoto mmoja hivi, she's not so beautiful ila ndo hivyo moyo umependa jamani ila ananinyanyasa mno kwakweli.
Hajibu text zangu mpka pale anapojiskia, nampigia hapokei yani yeye ananitafuta akipenda yeye.
Amekuwa akifanya mengi ya ajabu ila nikihoji anakuja juu naishia kuomba msamaha mimi.
Jamani nateketea, sijui niliingiaje huku!