Mapenzi yapo pambania Afya

Dim Ray

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
320
Reaction score
249
Habari wanajamvi ,nimeona nivute kigoda niwashauri .Kwa sasa wengi mme invest kwenye kubanjuana na kulialia kisa mapenzi ,wengine mnaenda mbali mechi za ugenini mnacheza peku peku jalini afya kwanza ,๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
ngoja npatwe na ukimwi ndo ntaamini kuwa upo.
 
Habari wanajamvi ,nimeona nivute kigoda niwashauri .Kwa sasa wengi mme invest kwenye kubanjuana na kulialia kisa mapenzi ,wengine mbaenda mbali mechi za ugenini mnacheza peku peku jalini afya kwanza ,๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ

Wale wa kula tunda kimasihara sidhani kama watakuwa wamekuelewa
 
Na hivi MABEBERU wanaenda kukata misaada ya ARV nyie endeleeni kujisifia kula Tunda kimasihara tu. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Na inajiremba kweli ,imeacha kuwa rafu kama zamani ukiiona utaishia sema Mashalaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ,kumbe maisha yanaenda kulala forever
HIV/AIDS ipo wakuu.
 
Na inajiremba kweli ,imeacha kuwa rafu kama zamani ukiiona utaishia sema Mashalaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ,kumbe maisha yanaenda kulala forever
Hatari mkuu.
 
Dah... HIV Ni msamiati mkubwa kwa Wana Chawaputa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ