May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
- Thread starter
- #21
Watu wanasahau kuwa uvumilivu wa Mwanamke wa zamani ni tofauti na waliopo zama hizi ambapo wengi wameshaaminishwa kuwa Mwanamke na Mwanaume ni sawa.Kusema kirahisi tu kwamba ndoa za mababu zetu zilidumu bila ushahidi wowote unatupa wakati mgumu kukuamini . Huenda babu na bibi yako uliwaona wako pamoja uzeeni we ukaweka conclusion Kwamba ndoa za zamani zilidumu
Hivyo Mwanamke wa zamani aliwazidi hawa wa leo kwa uvumilivu tu lakini Mwanaume ni yule yule.