gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Natamani kama namie ningezaliwa na kuolewa mapema pengine ningesema kama wewe kua namshukuru mungu kwa kunipa mume.
usjali sana utampata tu hata mm sikujua kama ningekuwa hivi manake sikuombaga lakin Mungu alinipa kwa upendo wake kwangu. so usijali sana just hope Mungu atakuwa pamoja na wewe ili akupatie.