Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Jana usiku baba mwenye nyumba wangu alikuja kugonga dirishani kwangu usiku muda wa kula daku.
Nikaenda kumfungulia, akaingia ndani akiwa amevalia msuli wake na kizibao cha ndani aina ya singlend.
Akaongea mengi, lakini kikubwa alikuwa nataka nimtatulie shida yake, anasema kuwa hapatwi na nguvu za kushiriki tendo la ndoa mpaka aingiliwe kinyume na mzingira.
Akaniahidi kuwa leo angenipa milioni moja na kila nikimuingilia atakuwa ananipa laki moja.
Pia akaniomba nimtunzie siri yake.
Nikamwambia mzee wangu kwa kuwa tu watu wa imani tofauti, naomba niombe kibali cha kukuingilia kutoka kwa Muumba wangu.
Nikapiga magoti na kuanza kukemea uovu na dhambi ya ufirauni vinavyommaliza huyo mzee.
Mzee akaanza kuniporomoshea matusi kuwa eti mimi nilikuwa naomba kuingiliwa na yeye (akanigeuzia kibao)
Mkewe alipotaka kujua ugomvi na zogo ni vya nini mi nkamuuliza mumeo amekuaga kuwa anaenda wapi? Akasema kamtoroka alipokuwa usingizini.
Nikamwambia mzee, jiheshimu, ukishindwa kujiheshimu, unajikaribishia aibu na kudharaulika.
Wito wangu kwenu wana jamii wenzangu, usifungue mlango wa nyumba yako kabla hujajua mgeni wako anadhamira gani na wewe.
Nikaenda kumfungulia, akaingia ndani akiwa amevalia msuli wake na kizibao cha ndani aina ya singlend.
Akaongea mengi, lakini kikubwa alikuwa nataka nimtatulie shida yake, anasema kuwa hapatwi na nguvu za kushiriki tendo la ndoa mpaka aingiliwe kinyume na mzingira.
Akaniahidi kuwa leo angenipa milioni moja na kila nikimuingilia atakuwa ananipa laki moja.
Pia akaniomba nimtunzie siri yake.
Nikamwambia mzee wangu kwa kuwa tu watu wa imani tofauti, naomba niombe kibali cha kukuingilia kutoka kwa Muumba wangu.
Nikapiga magoti na kuanza kukemea uovu na dhambi ya ufirauni vinavyommaliza huyo mzee.
Mzee akaanza kuniporomoshea matusi kuwa eti mimi nilikuwa naomba kuingiliwa na yeye (akanigeuzia kibao)
Mkewe alipotaka kujua ugomvi na zogo ni vya nini mi nkamuuliza mumeo amekuaga kuwa anaenda wapi? Akasema kamtoroka alipokuwa usingizini.
Nikamwambia mzee, jiheshimu, ukishindwa kujiheshimu, unajikaribishia aibu na kudharaulika.
Wito wangu kwenu wana jamii wenzangu, usifungue mlango wa nyumba yako kabla hujajua mgeni wako anadhamira gani na wewe.