Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

Halafu cha kusikitisha,wakipigwa walipoficha hizo rockets hao wa kuitwa wanaume wanatoka wamebeba picha za maiti za watoto na kuzitengenezea propaganda za kuuliwa watoto huku wakijua kabisa wanawatanguliza watoto na wamama kama ngao zao.Palestina maisha ya kina mama na watoto hayana thamani kabisa.
Nyamizi ulikuwa ukilalama kuwa Urusi inapiga bembea na hospital, kuharibu makazi na miundombinu huko Ukraine. Leo mbona hapa unashabikia kuwa objective basi, au hapa kwa sababu mtendaji Ni taifa teule.
 
Hii ikitokea nchi za akina sie choka mbaya tusahau kuinuka tena kama nchi. Maana kwa miaka 60 tu, tupo hapa....... Je tukisambaratishwa hivi.

Amani ni kitu muhimu katika kuleta maendeleo.
TZ hakuna amani ila kuna utulivu🤣🤣🤣🤣💺
 
Omera tumpongeze pia Urusi kwa kupiga majengo na kuua raia huko Ukraine maana naona scenes zinafanana.

Kule ni vita baina ya mataifa, huku ni vita baina ya magaidi wa dini na wapenda amani.
 
Hadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.

Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.


33XW9FD-highres-1697020236.jpg


AP23284437076778-1-1697090343.jpg


AP23284322500726-1697090320.jpg



AP23284511730844-1697036102.jpg



AP23283472349693-1-1697090303.jpg




2023-10-11T063007Z_1862764975_RC26Q3A6IT5T_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697006020.jpg


2023-10-11T132335Z_437210073_RC2OP3A8JEEO_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-GAZA-TIMELINE-1697050494.jpg



33XU9HR-highres-1696851222.jpg



2023-10-12T072255Z_1629287600_RC2VQ3AK3YLY_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697100739.jpg



Hamas wajinga sana sana. Walidanganywa na kina Faiza Fox
 
Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Wewe ndiyo wa kudharauliwa,hao unaowata wanaume wamejificha ndani ya majengo,chini ya ardhi,ili uwafikie lazima majumba yabomole,
Hata hivyo walipoua huko Israel waliua watoto, wanawake na wazee, kwa hiyo nao walitiwa na watoto na wanawake ni sawa tu
 
Wewe mtoa mada unaonyesha hujui thamani ya uhuru, nchi za Africa wangeogopa kufa unadhani wangepata uhuru.

Kuna wakati mnaongea kama walevi hivi wewe unadhani Israel kashinda vita? Kama unamini vile basi kapime akili zako zinaonyesha hauko sawa.

We unajua hayo majumba anayo vunja Israel kila boom moja lina cost kiasi gani?

We unajua kila missile ya Iron dome ina cost bei gani

We unajua kifaru kimoja cha Israel Markava kina cost ngapi

We unajua hasara aliyo ipata Israel kuhamisha watu wake kutoka Ghilaf gaza, Sedod na Asqalani na badhi ya miji iliopo katikati ya Israel imewagharamia kiasi gani.

Vita sikuvunja majumba hayo majumba labda 20 ndio thamani ya boom moja

We unafahamu cost ya ndege moja ya kivita ikiruka bila kupigwa inagharimia kiasi gani


Israel vita kashindwa ndio sababu kakasirika anavunja majumba kawauwa wanawake, watoto, wazee na badhi ya vijana wala siwapiganaji wa Hamasi.

Ukitaka kujua Israel vita hi kapata aibu si kidogo na pia anaogopa kuingia Gaza anajua atapigika na America na Uingereza wamepeleka wanajeshi kwenda kumsaidi si ajabu Ufaransa na Mjerumani na wao wako njiani kupeleka wanajeshi kumsaidia Israel.


Israel anawafahamu Hamasi vizuri ndio mana anasita kuingia Gaza na America ndio anampush aingie Ground war.

Nakufahamisha tena usiwe mjinga hakuna uhuru ukaupata bila kumwaga damu hasa kama walio chukua ardhi yako wanasaidiwa na US na Europe na badhi ya mataifa wenye chuki na Uislam, lakini sis waislam uzuri wetu tunamini kufa ni bora kuliko kuishi sababu tunaenda kwa Mungu ambaye hadhulumu wala hakuonei kuliko kubaki duniani unamuogopa eti US ana F16 au F35 😂

Afu mimi navyo ona hi vita kila ikizidi kusonga mbele ndio mwisho wa US na Muingereza, mfaransa na Mjeruman.

Wakati utathibitisha
 
Ngozi nyeusi ndio watu wamwisho asee imagine tunajivunia amani kwamba tunautulivu wakujenga nchi ila tumezidiwa parefu na gaza ambao kila mara majengo yanashushwa
Nimeshangaa sana...hawa watu wanavita visivyokoma..wanakuaje na maendeleo kutuzidi sisi
 
Tuliozoe kuona Moshi wa unaotokana na BUSH FIRE

Tuendelee kuwa wapole ,Moshi unaotokana na vyuma wakuusikia kwa MAJIRANi
 
Back
Top Bottom