Hamasi wako wwpi , yaan ni sawa na mende akuparue uaanzae kuvnja kuvunnia makabati ,madiridha milango ,halafu unajiiya mshindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamasi wako wwpi , yaan ni sawa na mende akuparue uaanzae kuvnja kuvunnia makabati ,madiridha milango ,halafu unajiiya mshindi
Nyamizi ulikuwa ukilalama kuwa Urusi inapiga bembea na hospital, kuharibu makazi na miundombinu huko Ukraine. Leo mbona hapa unashabikia kuwa objective basi, au hapa kwa sababu mtendaji Ni taifa teule.Halafu cha kusikitisha,wakipigwa walipoficha hizo rockets hao wa kuitwa wanaume wanatoka wamebeba picha za maiti za watoto na kuzitengenezea propaganda za kuuliwa watoto huku wakijua kabisa wanawatanguliza watoto na wamama kama ngao zao.Palestina maisha ya kina mama na watoto hayana thamani kabisa.
TZ hakuna amani ila kuna utulivu🤣🤣🤣🤣💺Hii ikitokea nchi za akina sie choka mbaya tusahau kuinuka tena kama nchi. Maana kwa miaka 60 tu, tupo hapa....... Je tukisambaratishwa hivi.
Amani ni kitu muhimu katika kuleta maendeleo.
angesema wanaume wanawatumia wanawake na watoto kama shield, msamehe mkuu hyo lugha ilikuja kwa meli et
uogaTZ hakuna amani ila kuna utulivu
DuhGaza ni pazuri kuliko Dar...kweli sisi tupo duniani kumaliza hewa tu
Yaan dash😭Halafu mziki unakuwaga kwa kina mama na watoto. Nadhani ndio wahanga namba moja wa vita
Hamas wajinga sana sana. Walidanganywa na kina Faiza FoxHadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.
Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Photos show scale of the destruction of Israel air attacks on Gaza
Hundreds of thousands of Palestinians have been displaced across Gaza due to Israel’s air raids after Hamas’s attack.www.aljazeera.com
hao wanaume mbona wamejificha kwenye mahandaki si wangetoka front line?Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Wewe ndiyo wa kudharauliwa,hao unaowata wanaume wamejificha ndani ya majengo,chini ya ardhi,ili uwafikie lazima majumba yabomole,Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Hata Israel anapoteza watu vita haina machoBhas wapambane..waendelee kufa
Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Ngozi nyeusi ndio watu wamwisho asee imagine tunajivunia amani kwamba tunautulivu wakujenga nchi ila tumezidiwa parefu na gaza ambao kila mara majengo yanashushwaGaza ni pazuri kuliko Dar...kweli sisi tupo duniani kumaliza hewa tu
Nimeshangaa sana...hawa watu wanavita visivyokoma..wanakuaje na maendeleo kutuzidi sisiNgozi nyeusi ndio watu wamwisho asee imagine tunajivunia amani kwamba tunautulivu wakujenga nchi ila tumezidiwa parefu na gaza ambao kila mara majengo yanashushwa