Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

Aisee Israel hawatanii kudadadeki, wanapiga wanapiga so mchezo.

Sijui HAMAS waliwaza nn kuishambulia na kuua waisrael jamani.

Nadhani wapalestina watawaua HAMAS wote,la sivyo wao wenyewe ni HAMAS wote
 
Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.

Wanaume wapi hao?!
IMG_3778.jpg
 
Hamas wamewateka raia ili kubadilishana na wafungwa wao waliopo katika magereza ya Israel. Wanaolengwa na Hamas ni wanajeshi wa israeli na miundombinu ya kijeshi. Israel yeye amelenga raia 100% anapigana vita unprofessional kabisa.

Nenda wewe kapigane vita proffesional.
Sio kulialia nyuma ya keyboard
 
Hii ikitokea nchi za akina sie choka mbaya tusahau kuinuka tena kama nchi. Maana kwa miaka 60 tu, tupo hapa....... Je tukisambaratishwa hivi.

Amani ni kitu muhimu katika kuleta maendeleo.
Tuna rudi stone Age, Ujima.

Dar inakuwa kijiji....

Watu watarudi kijijini kwao kulima
 
Hamas wamewateka raia ili kubadilishana na wafungwa wao waliopo katika magereza ya Israel. Wanaolengwa na Hamas ni wanajeshi wa israeli na miundombinu ya kijeshi. Israel yeye amelenga raia 100% anapigana vita unprofessional kabisa.
kwamba lile tukio lililopekekea haya yote walilenga miundombinu? mwarab akikuomba takle utampa upo radhi kudanganya asee
 
Hawa jamaa inaonekana wana survive kwa misaada ya nchi za kiarabu na nchi nyingine na sio tozo na kodi kama huku, ndio maana japo hali ni hivyo magofu lakini baada ya mwaka magorofa yamesimama.
Lazima wajengewe maghorofa ili waweze kuenea sehemu ya kuishi.Eneo lile ni dogo sana kwa population yao,halafu sasa si wavivu wa kuzaliana
 
Inapaswa Sasa Dunia iwaombe Israel inatosha kama kulipiza ishatosha hamas wamejifunza mrejesho wa Kila action Yao mbaya
Issue sio kulipiza, lengo ni kulipoteza kabisa hilo kundi la kigaidi
 
Hadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.

Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.


33XW9FD-highres-1697020236.jpg


AP23284437076778-1-1697090343.jpg


AP23284322500726-1697090320.jpg



AP23284511730844-1697036102.jpg



AP23283472349693-1-1697090303.jpg




2023-10-11T063007Z_1862764975_RC26Q3A6IT5T_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697006020.jpg


2023-10-11T132335Z_437210073_RC2OP3A8JEEO_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-GAZA-TIMELINE-1697050494.jpg



33XU9HR-highres-1696851222.jpg



2023-10-12T072255Z_1629287600_RC2VQ3AK3YLY_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697100739.jpg



HAMAS hawana faida wanaleta HASARA tu wanasababisha watu wateseke ....tuna support vipi HAMAS?? HAMAS is a disgrace to PALESTINE....human shield is not acceptable in WAR
 
Back
Top Bottom