Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Hamas wamewateka raia ili kubadilishana na wafungwa wao waliopo katika magereza ya Israel. Wanaolengwa na Hamas ni wanajeshi wa israeli na miundombinu ya kijeshi. Israel yeye amelenga raia 100% anapigana vita unprofessional kabisa.
Tuna rudi stone Age, Ujima.Hii ikitokea nchi za akina sie choka mbaya tusahau kuinuka tena kama nchi. Maana kwa miaka 60 tu, tupo hapa....... Je tukisambaratishwa hivi.
Amani ni kitu muhimu katika kuleta maendeleo.
kwa kaz ni ipi na ipi?Oya hivi we jamaa unakazi ya kufanya kweli? Ninawasiwasi bado unalelewa na wazazi wako.
sw wape heshima hamas kwa kushambulia watu walio discoNimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
kwamba lile tukio lililopekekea haya yote walilenga miundombinu? mwarab akikuomba takle utampa upo radhi kudanganya aseeHamas wamewateka raia ili kubadilishana na wafungwa wao waliopo katika magereza ya Israel. Wanaolengwa na Hamas ni wanajeshi wa israeli na miundombinu ya kijeshi. Israel yeye amelenga raia 100% anapigana vita unprofessional kabisa.
Lazima wajengewe maghorofa ili waweze kuenea sehemu ya kuishi.Eneo lile ni dogo sana kwa population yao,halafu sasa si wavivu wa kuzalianaHawa jamaa inaonekana wana survive kwa misaada ya nchi za kiarabu na nchi nyingine na sio tozo na kodi kama huku, ndio maana japo hali ni hivyo magofu lakini baada ya mwaka magorofa yamesimama.
Wakati wanawarushia wenzao rockets hawakujua kuwa hawana ADS?Unajisifu kushambulia watu hawana air defence systems alafu unajiita mwamba
Wanaume wapi hao?!View attachment 2784769
Issue sio kulipiza, lengo ni kulipoteza kabisa hilo kundi la kigaidiInapaswa Sasa Dunia iwaombe Israel inatosha kama kulipiza ishatosha hamas wamejifunza mrejesho wa Kila action Yao mbaya
HAMAS hawana faida wanaleta HASARA tu wanasababisha watu wateseke ....tuna support vipi HAMAS?? HAMAS is a disgrace to PALESTINE....human shield is not acceptable in WARHadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.
Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Photos show scale of the destruction of Israel air attacks on Gaza
Hundreds of thousands of Palestinians have been displaced across Gaza due to Israel’s air raids after Hamas’s attack.www.aljazeera.com