Mapinduzi Afrika yamefungua ukurasa mpya, chaguzi zetu zimeporwa na wazungu

Mapinduzi Afrika yamefungua ukurasa mpya, chaguzi zetu zimeporwa na wazungu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ukiangalia watu wanaliofanya na kushangilia mapinduzi kule Burkina Faso, Mali na Niger ni vijana ambao sanduku la kura limeshindwa kuwapatia viongozi wanaowachagua. Chaguzi zetu zinafadhiliwa na wakoloni wetu wa zamani kwa manufaa yao.

Chaguzi zetu ni mwanya wa kupenyeza mamluki kwenye uongozi wa juu wa taifa. Miaka 60 ya bara la Afrika kuwa huru hali ya maisha imesalia ileile bila sababu za msingi. Nadhani vijana wa Afrika wanataka kujaribu njia mpya katika kujitafutia nafuu badala ya ile ya kupanda boti na kwenda Ulaya kutafuta nafuu.

Vijana wanaofikiri kufuata njia ya mali Burkina Faso na Niger wako kila nchi barani Afrika, ni muda tu ndio unakuwa kikwazo kwao. Wamachinga, bodaboda na wakosa ajira ni makundi ya kuchungwa sana. Siku kama ikitokea yale maeneo ya wazi yamejaa, ardhi ya wazi imejaa na mishahara ya watumishi ikizidi kupungua uwezo wa kununua bidhaa siku hadi siku iko siku tunaweza kuona hali tofauti kabisa.

 
Ukiangalia watu wanaliofanya na kushangilia mapinduzi kule B/Faso, Mali na Niger ni vijana ambao sanduku la kura limeshindwa kuwapatia viongozi wanaowachagua. Chaguzi zetu zinafadhiliwa na wakoloni wetu wa zamani kwa manufaa yao. Chaguzi zetu ni mwanya wa kupenyeza mamluki kwenye uongozi wa juu wa taifa. Miaka 60 ya bara la Afrika kuwa huru hali ya maisha imesalia ileile bila sababu za msingi. Nadhani vijana wa Afrika wanataka kujaribu njia mpya katika kujitafutia nafuu badala ya ile ya kupanda boti na kwenda Ulaya kutafuta nafuu. Vijana wanao vikiri kufuata njia ya mali Burkina Faso na Niger wako kila nchi barani Afrika, ni muda tu ndio unakuwa kikwazo kwao. Wamachinga, bodaboda na wakosa ajira ni makundi ya kuchungwa sana. Siku kama ikitokea yale maeneo ya wazi yamejaa, ardhi ya wazi imejaa na mishahara ya watumishi ikizidi kupungua uwezo wa kununua bidhaa siku hadi siku iko siku tunaweza kuona hali tofauti kabisa.

Uwe unajaribu kutafuta taarifa sahihi kila unaposikia jambo kabla ya kuandika

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia watu wanaliofanya na kushangilia mapinduzi kule B/Faso, Mali na Niger ni vijana ambao sanduku la kura limeshindwa kuwapatia viongozi wanaowachagua. Chaguzi zetu zinafadhiliwa na wakoloni wetu wa zamani kwa manufaa yao. Chaguzi zetu ni mwanya wa kupenyeza mamluki kwenye uongozi wa juu wa taifa. Miaka 60 ya bara la Afrika kuwa huru hali ya maisha imesalia ileile bila sababu za msingi. Nadhani vijana wa Afrika wanataka kujaribu njia mpya katika kujitafutia nafuu badala ya ile ya kupanda boti na kwenda Ulaya kutafuta nafuu. Vijana wanao vikiri kufuata njia ya mali Burkina Faso na Niger wako kila nchi barani Afrika, ni muda tu ndio unakuwa kikwazo kwao. Wamachinga, bodaboda na wakosa ajira ni makundi ya kuchungwa sana. Siku kama ikitokea yale maeneo ya wazi yamejaa, ardhi ya wazi imejaa na mishahara ya watumishi ikizidi kupungua uwezo wa kununua bidhaa siku hadi siku iko siku tunaweza kuona hali tofauti kabisa.


Chaguzi za 2019 na 2020 Tanzania ziliporwa na Wazunga?
 
Ziliporwa na Wazungu?
Afrika kuwa huru hali ya maisha imesalia ileile bila sababu za msingi. Nadhani vijana wa Afrika wanataka kujaribu njia mpya katika kujitafutia nafuu badala ya ile ya kupanda boti na kwend
Hali ya maisha imesalia kwa sababu ya Viongozi wanaopatikana Afrika kuwa Miungu watu na kutopenda kutii viapo na malengo ya nchi husika.
 
Hao madikteta ni sahihi kupinduliwa maana jeshi Huwa lipo sahihi kwani ni mali ya wananchi
 
Uchaguzi Sio jibu la matatizo ya uongozi Africa.
Africa inatakiwa tununue management ya kutusimamia toka nje na Sio kutupa pesa kufanya uchaguzi ambao kila kiongozi ajae huja na yake.
Huyu mikataba yule vunja mikataba.
Hatuwezi enda.
Watawala wa kiafrika wapo kwa ajili ya keki tu.
 
Ujinga kweli ni kipaji. Unadhani hayo mapinduzi yanayotokea huko ni mazuri sana kiasi hicho..??
Msiwe mna wish vitu ambavyo hamvijui undani wake. Mnakuwa washabiki wa siasa bila kutumia akili, matokeo yake ndo haya.
 
Ujinga kweli ni kipaji. Unadhani hayo mapinduzi yanayotokea huko ni mazuri sana kiasi hicho..??
Msiwe mna wish vitu ambavyo hamvijui undani wake. Mnakuwa washabiki wa siasa bila kutumia akili, matokeo yake ndo haya.
Vijana wanahoji miaka 60 ya uhuru Afrika bila kuwa na maji ya kunywa kijijini kwao, kwanini watawala hawawapi majibu ya swali lao kama hilo? Bei ya mafuta inapanda na bei ya bidhaa inapanda lakini mshahara wa askari uko palepale (maana yake umeshuka), kwanini watawala wawapi askari majibu ya swali kama hilo?. Wafanyabiashara, machinga, wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimbaji wana maswali yao pia ambayo hawapewi majibu na watawala kwa miaka zaidi ya 60 sasa. Hawa vijana hawana haki ya kutafuta/kujaribu njia nyingine ya kuwafikisha Kanani?.
 
Chaguzi za 2019 na 2020 Tanzania ziliporwa na Wazunga?
Kaka kwa kutumia kura hakuna mtu ambae hatazingatia maslahi ya wakoloni atakaechaguliwa na kama atachaguliwa hatadumu madarakani. Wale waliochaguliwa kidemokrasia wanaweza kufanya
Kuwasingizia mabeberu juu ya upumbavu wetu ni kuwakosea heshima mabeberu
Kwanini Niger inataka kupigwa na France na Marekani? Kuna nini Niger? mbona hawazipigi BurkinaFaso na Mali ambazo nazo zimefanya mapinduzi? Mama yangu Afrika amka!!!!!
 
Kaka kwa kutumia kura hakuna mtu ambae hatazingatia maslahi ya wakoloni atakaechaguliwa na kama atachaguliwa hatadumu madarakani. Wale waliochaguliwa kidemokrasia wanaweza kufanya

Kwanini Niger inataka kupigwa na France na Marekani? Kuna nini Niger? mbona hawazipigi BurkinaFaso na Mali ambazo nazo zimefanya mapinduzi? Mama yangu Afrika amka!!!!!
Wao wanasema ili kuwadhibiti magaidi wa kundi la tuarage aliyepinduliwa alikua mshirika wao dhidi ya kundi hilo la tuarage
 
Ukiangalia watu wanaliofanya na kushangilia mapinduzi kule Burkina Faso, Mali na Niger ni vijana ambao sanduku la kura limeshindwa kuwapatia viongozi wanaowachagua. Chaguzi zetu zinafadhiliwa na wakoloni wetu wa zamani kwa manufaa yao.

Chaguzi zetu ni mwanya wa kupenyeza mamluki kwenye uongozi wa juu wa taifa. Miaka 60 ya bara la Afrika kuwa huru hali ya maisha imesalia ileile bila sababu za msingi. Nadhani vijana wa Afrika wanataka kujaribu njia mpya katika kujitafutia nafuu badala ya ile ya kupanda boti na kwenda Ulaya kutafuta nafuu.

Vijana wanaofikiri kufuata njia ya mali Burkina Faso na Niger wako kila nchi barani Afrika, ni muda tu ndio unakuwa kikwazo kwao. Wamachinga, bodaboda na wakosa ajira ni makundi ya kuchungwa sana. Siku kama ikitokea yale maeneo ya wazi yamejaa, ardhi ya wazi imejaa na mishahara ya watumishi ikizidi kupungua uwezo wa kununua bidhaa siku hadi siku iko siku tunaweza kuona hali tofauti kabisa.


Hivi vyama vikongwe vilivyojaa wezi wa mali za umma dawa yao ni kuviondoa kwa nguvu kama havitaki sanduku la kura.
 
Hivi vyama vikongwe vilivyojaa wezi wa mali za umma dawa yao ni kuviondoa kwa nguvu kama havitaki sanduku la kura.
Vyama hivi vina mafungamano na wakoloni wetu wa zamani. Ukiona Chama kikongwe kipo ujue uhusiano wake na mabeberu ni WA chanda na na kidole
 
Hivi vyama vikongwe vilivyojaa wezi wa mali za umma dawa yao ni kuviondoa kwa nguvu kama havitaki sanduku la kura.
Kiongozi aliyechaguliwa na wananchi kidemokrasia halafu akashindwa kutimiza Yale aliyowaahidi hayo ni mapinduzi pia, amewapindua wananchi wake. Kiongozi aliyechaguliwa kidemokrasia kisha anabadili katiba ili aendelee kubakia madarakani hayo ni mapinduzi pia. Mapinduzi sio kwa kutumia silaha TU kama watawala na mabeberu wanavyotuzuga.
 
Back
Top Bottom