Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!