Mapinduzi aliyoandaa Afande Andengenye!

Mapinduzi aliyoandaa Afande Andengenye!

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
5,566
Reaction score
5,477
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!

Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.

Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!

Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!

Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
 
Hakuna bunge siku hizi. Hili la Lugula lazima iundwe tume maalum ilete ukweli hewani.

Haya mambo jiwe anayatumia kufanya ufisadi wa kutisha.

Jiwe athibitiwe haraka kabla hajaleta maafa ya karne kwa taifa hili changa.
Romania wanatengenezwa magari ya zimamoto aina ya Magnus haya hapana, angalau zile scania za Masha zimedumu, pili hatuwezi ruhusu kila mtu akajichotea mkopo atakavyo, Kangi akope kununua fire extinguisher, Jaffo akope hela za kujenga stand, mwisho wa siku hazina wabebe madeni, tunakamatiwa ndege kilaziku bado mtu anaweka rehani serikali yetu, hapana
 
Tunashukuru Andengenye kwa kujitetea, lakini sioni kwani uendelee kukaa ofisini wakati hata kuandika kwa ufasaha huwezi.

1579809698866.png
ACHA CHUKI BINAFSI!
 
Ndiyo hivyo basi,pamoja na mazuri yote,kafanya baya moja ambalo hakupaswa kusamehewa.
 
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!

Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.

Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!

Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!

Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Sasa sisi yanatuhusu nini? Wacha watoane ngeu.
 
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!

Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.

Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!

Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!

Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Sasa sisi yanatuhusu nini? Wacha watoane ngeu.
 
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!

Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.

Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!

Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!

Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Hehe umeandika unafikiri,mimi nilidhani unajua kumbe huna uhakika na unacho kijua
 
Back
Top Bottom