Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Simba wamejitahidi sana. walau wameishia nusu fainali kwenye mechi iliyofanyika "nje ya nchi".

Warudi zao msimbazi wakasaidie kuuza juice za azam.

Ha ha ha simba wamepata ushindi nje ya nchi?!!
 
Hakuna kufuta post wala comment kwa kua najua matokeo ya mpira ni either kufunga, kufungwa au kutoka sare. Nin cha ajabu kilichokushangaza sana mkuu wangu?

Pole kwa kupakatwa na Mtibwa
 
Nadeclare kuwa mshabiki haswa wa Simba ila kwa aina ya mchezo wetu hatuwezi fika popote asee.
Ukiangalia uwezo wa timu upo chini halafu timu haina morari kabisa,yani kama wamelazimishwa asee dah! Namshukuru sana mungu kutolewa kuepuka dhahma na maumivu ya kufungwa na Yanga!
 
Ni kweli Mkuu....
 
Wanaruka ruka tu,bora angebaki jina angetisha,amekuwa swala kabisa asee!
Hili litimu linakera sana,michezaji haijitumi kabisa
 
Wanaruka ruka tu,bora angebaki jina angetisha,amekuwa swala kabisa asee!
Hili litimu linakera sana,michezaji haijitumi kabisa

Subiri yule kocha wao lazima atashughulikiwa wakati timu haina morali. Hakika fainali ni Yanga v/s Mtibwa! Bonge la mechi la kisasi.
 
Wameogopa kukutana na yanga fainali wasije fedheheshwa ndio maana kafungwa makusud
 
Simba iko gonjwa, haina madhara kabisa
 
Ili kunogesha mashindano inabibidi yanga iwafate kwenye mshindi wa 3!
 
Subiri yule kocha wao lazima atashughulikiwa wakati timu haina morali. Hakika fainali ni Yanga v/s Mtibwa! Bonge la mechi la kisasi.
Yani kocha ndo "scapegoat "kwa soka la kibongo bongo na wakifanya hvyo watamuonea sana yani..!
Nashukuru sana Simba yangu kutolewa,laiti kama tungekutana na Yanga tungepata aibu ya kufungua mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…