..amesha kamata mind za wanachama wengi,ndio maana anajiamini sana,tokea enzi za 'friends of simba' tuliwafanya hawa watu wakaonekana km wakombozi,nao baada ya kuona tunawatukuza,ndio wanatutafuna vizuri sasa.Hivi huyo Hans Pope anajiona ana nguvu kuliko wanachama wote wa Simba....
Wanachama waite Meeting wakae waliongelee hili swala.. Huwezi kuacha 20 Billion wakati wachezaji wanalala kwenye guest za elfu 10 alafu wanashare vitanda... Huyu kocha nimemwona ni mzuri hana shida yeyote.. Tatizo ni hao viongozi wa Simba..
Siyo kocha, mlengwa ni dictator Aveva.Subiri yule kocha wao lazima atashughulikiwa wakati timu haina morali. Hakika fainali ni Yanga v/s Mtibwa! Bonge la mechi la kisasi.
Dogo Sasa hizo dharauSimba itabaki kuwa timu kongwe, timu kubwa Bongo ni Yanga, Azam na Mtibwa. Mwadui wakibaki kwenye ligi kuu miaka mitatu mfululizo watachukua nafasi ya Simba.
...rilaxx; after every 30 minutes utapata!Update za haya mashindano ovyo kabisa....
Namna hiyo tunapoteza mzuka...hili jukwaa halikuwa hivi hapo awali...rilaxx; after every 30 minutes utapata!
Nini kimetokea ndugu?Naona ule utabir fainal ni mtibwa na yanga unaelekea kutimia
Yanga si wazuri kwenye penati...Naona ule utabir fainal ni mtibwa na yanga unaelekea kutimia
Mashindano ya Kombe la Mapinduzi hayana Mshindi wa tatu...Ni wa kwanza na wa pili tuYanga ipigwe kwenye matuta ili ikutane na simba mshindi wa 3 hapo mashindano yatakuwa yamenoga!
Kama yanga itatolewa kwenye matuta inabidi mshindi wa 3 atafutwe tuu ili kunogesha mashindano!Mashindano ya Kombe la Mapinduzi hayana Mshindi wa tatu...Ni wa kwanza na wa pili tu