Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Mechi za kesho

16:00. Mtibwa Sugar v/s Mafunzo
20:00. Yanga v/s Azam Fc
 
Ratiba inaendelea tena leo...Je Azam atapata ushindi wake wa kwanza leo?
 
Dak 12 Mafunzo 0-1 Mtibwa Bahanuzi.
 
Mafunzo wameshindwa kutumia cross mbili
 
Ni kweli Striking yao ni butu though wanaingia mpaka kwenye 18.
 
Urojo ndicho chakula chao nguvu watapata wapi.
nyny weny nguvu mnaokula kokoto c tungewaona basi mafanikio yenu katka soka angalau ukanda huu wa afrika mashariki na kati, badala yake ndo wa mwisho sku zote, jana wala urojo wamemlazimisha mla kokoto sare ya 2:2
 
nyny weny nguvu mnaokula kokoto c tungewaona basi mafanikio yenu katka soka angalau ukanda huu wa afrika mashariki na kati, badala yake ndo wa mwisho sku zote, jana wala urojo wamemlazimisha mla kokoto sare ya 2:2
duuh...
 
Dak 39: MFZ 0-1 MTB.

Mtibwa nao siyo wale wa juzi na Azam,wamepooza mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…