Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Young Africans SC vs Mtibwa Sugar .
1.Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Mwinyi Hadji
4. Vicente Bossou
5. Kelvin Yondani
6. Mbuyu Twite
7. Simoni Msuva
8. Thabani Kamusoko
9. Amisi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Issoufou Boubacar
Subs:
1. Ali Mustafa.
2. Oscar Joshua
3. Pato Ngonyani
4. Deusi Kaseke
5. Paul Nonga
6. Malimi Busungu
7. Salumu Telela
8. Antony Mateo
9. Geofrey Mwashuiya
Head Coach: Hans Van Pluijm
Assistant : Mwambusi.
Manager : Hafidhi Saleh.

Hamtoki salama leo, Mexime kocha bhana.
 
Mtibwa 1 wakat yanga 0 mpaka sasa, mtibwa oyee.
 
..eti; ile style yenu ya kushangilia siku hizi mnajipanua huko nyuma mmeipata wapi? nikiwaitia nyosso nitakuwa na kosa?!
wanashangilia vizuri sana si unaona hata maneno yao... Mtibwa ashafanya yake now Mtibwa 1 Yanga 0
 
Kandambili wamesawazisha dak ya 42
Refa kawabeba, yaani ndala sijui wakoje, hawawezi kabisa kucheza bila kubebwa!
Nasikia WAMESHANUNUA mechi ijayo endapo watapita, alafu wanakula dili wasikutane na The Beast!
 
Back
Top Bottom