na lazima simba ishindeDk 16,Simba anacheza mpira ktk ubora wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na lazima simba ishindeDk 16,Simba anacheza mpira ktk ubora wake
Hii tumu mafala kweli wanaua viwango vya wachezaji wazalendo. Wamesajili wachezaji 30, kuna mapimbi 10 wao wapo bench mpaka ligi inaisha.Young Africans SC vs Mtibwa Sugar .
1.Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Mwinyi Hadji
4. Vicente Bossou
5. Kelvin Yondani
6. Mbuyu Twite
7. Simoni Msuva
8. Thabani Kamusoko
9. Amisi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Issoufou Boubacar
Subs:
1. Ali Mustafa.
2. Oscar Joshua
3. Pato Ngonyani
4. Deusi Kaseke
5. Paul Nonga
6. Malimi Busungu
7. Salumu Telela
8. Antony Mateo
9. Geofrey Mwashuiya
Head Coach: Hans Van Pluijm
Assistant : Mwambusi.
Manager : Hafidhi Saleh.
Nyie mnaochezesha wachezaji wote mliowasajili mpo katika nafasi gani?Hii tumu mafala kweli wanaua viwango vya wachezaji wazalendo. Wamesajili wachezaji 30, kuna mapimbi 10 wao wapo bench mpaka ligi inaisha.
yaani we hadi leo haujui kama timu moja inachezesha wachezaji 11.?Hii tumu mafala kweli wanaua viwango vya wachezaji wazalendo. Wamesajili wachezaji 30, kuna mapimbi 10 wao wapo bench mpaka ligi inaisha.
Unapo challenge wenye akili unatakiwa utulize kichwa. Nachanganua:-yaani we hadi leo haujui kama timu moja inachezesha wachezaji 11.?
Bora timu ya taifa ife kuliko kuua klabu. asa kama wachezaji wa ndani viwango duni na hawafundishiki, tena nidhamu F unategemea nini?Unapo challenge wenye akili unatakiwa utulize kichwa. Nachanganua:-
1. Yanga imesajili wachezaji 30
2. Line up ina wachezaji 11 kati ya hao 5 wa nyumbani. Mshambuliaji hakuna wa nyumbani ila kuna Msuva tu ambaye ni winga.
3. Katika orodha ya wachezaji wa akiba wapo 9, ukijumlisha na waliondani jumla ni ishirini.
4. Ndo nikasema kuna mapimbi 10 hao hawakai hata bench.
Hoja yangu, kwa kutokuwa na washambuliaji wa ndani ni ishara tosha tunaua timu ya Taifa.
Mdogo wangu, wanamichezo walielewa nini ninakisema.
...tunaomba jibu tafadhali!Nusu fainal ya kwanza ni lini na saa ngap?
Nusu fainali ya kwanza.kesho mkuu nafikiri itakuwa saa kumi na mechi ya pili saa mbili usiku alikadharika na kesho kutwa itaendeleaNusu fainal ya kwanza ni lini na saa ngap?
Jumanne ndiyo fainali...Nusu fainali ya kwanza.kesho mkuu nafikiri itakuwa saa kumi na mechi ya pili saa mbili usiku alikadharika na kesho kutwa itaendelea
Sumba imetinga nusu fainali kwa kishindo bila kubebwa,inaenda kutana na mtibwa.ft Sumba 1 Jku 0
Mkuu tafadhali badilisha kauliImesha chezea koki