Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
KizimkaziMaandalizi na usafiri wa hizo timu ni jukumu la nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KizimkaziMaandalizi na usafiri wa hizo timu ni jukumu la nani?
Wana maajabu gani hao waliokuwa wakigeuzwa kama chapati na Wachezaji wa Al Hilal na baadae MC Alger?Yaani Muda, Bacca na Shekhan washiriki MASHINDANO hayo.? Wamchukue fei toto na wengine.
Na Sri Lanka na Australia.Au waandae mashindano ya visiwa. Hapo wataipata Comoros, Madagascar, Mauritius, Syshelles, Cuba kama wanacheza mpira na Cape Verde.
Timu itoke Burkina Faso kugombania milion100, garama za safari, posho za wachezaji, hotels, znazid mbaliMaandalizi na usafiri wa hizo timu ni jukumu la nani?
1+1=3, similarly if there no one next to you how many times are going to be alone?Timu itoke Burkina Faso kugombania milion100, garama za safari, posho za wachezaji, hotels, znazid mbali
Ndio inavyotakiwa yaani ukaumize mchezaji uliyemsajili kwa million 500 kwasababu ya million 100Ni vyema mashindano yanakosa maana kuna wahuni wanapeleka vikosi vya watoto bora wangerudisha ligi ya muungano tu!