Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Michezaji senge. Ila binafsi lawama kuu ziende kwa uongozi. Mbwa kabisa uongozi!
Mkamfukuza uchebe. Mimi mpaka kesho nitaendelea kupinga kuondolewa uchebe.
Pole Mkuu Wangu. Ndio Soka la kwetu TZ hilo.

Yahitaji moyo wa chuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…