Juzi ya 2 2 taifa mlisema kwa sababu Erasto hakuwepo haya jana? π€π€π€Timu imejaa professional players wa uchwara tu.
Leooo? π€π€Mo unapoteza fedha zako bure achana na hicho kikundi cha wauza mawese.
πππ Swahiba niitie yule Mkweo hebu. ππMtibwa walisema fainali yao ilikua na Yanga [emoji3],mikia timu lao bovu sana linabebwa na magazeti na insta plus marefa na tff,kama refa sio kufunika lile tuta leo walikua wanakufa 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Kaka ake. Yaani nacheka tu leo posts toka kwa Watani.
Mkuu na wewe ni 5imba? πππViongozi wa simba ni wasenge
Liverpool FC ilifungwa 5 - 0 na Aston Villa katika kombe la Carabao (Wengine mmezoea Carling Cup).
Lakini Liverpool hiyo hiyo imeshinda michezo 20 na kutoa sare 1 katika michezo 21 ya ligi (EPL).
Hivyo basi, vipaumbele ndio tatizo. Simba ametimiza wajibu kushiriki kwenye hako kakombe na sio kwamba ilikua ndio kipaumbele chake. Simba kipaumbele chake ni kuwa bingwa wa Afrika na Tanzania sio kushinda kakombe kanakochezwa week moja.
Yaani hamna anachofanya aiseee.
Tayari Mkuu nasikia vigele gele tu huku. πππ
ππππ Bora sisi timu ya Wananchi tulifungwa tunakimbia majukwaani mpaka yakiisha tunajirudia kimya kimya.MO toa pesa zako huko ni bora ukawekeze kwenye kilimo cha matikiti maji.
Ila mashabiki wa Simba huwa mnanifurahisha sana.Liverpool FC ilifungwa 5 - 0 na Aston Villa katika kombe la Carabao (Wengine mmezoea Carling Cup).
Lakini Liverpool hiyo hiyo imeshinda michezo 20 na kutoa sare 1 katika michezo 21 ya ligi (EPL).
Hivyo basi, vipaumbele ndio tatizo. Simba ametimiza wajibu kushiriki kwenye hako kakombe na sio kwamba ilikua ndio kipaumbele chake. Simba kipaumbele chake ni kuwa bingwa wa Afrika na Tanzania sio kushinda kakombe kanakochezwa week moja.
Ila mashabiki wa Simba huwa mnanifurahisha sana.
Mkuu naona unataka kujificha nyuma ya kivuli sasa. πππHivi Mtibwa walimtoa Nani Hadi kufika Fainali!
Anatuwekea kiwingu tu. ππ
Hahahahaaa. Yule anaweza kuchonga mdomo tu.Mtaelewa tu,mpeni Manara timuView attachment 1322365
Mmmh. π€
Mimi toka ile derby sijamuona aisee.