Mapinduzi Cup: Nusu fainali & fainali, na huyu ndiye Bingwa wa Visiwani na Bara

Kweli jamaa kachambua vizuri ...ukiachilia mbali ushabiki Simba wajipange vizuri performance yao sio nzuri ya kupata goli moja hawana team work kila MTU anacheza kivyake!Yanga uwezekano wa kufunga magoli mengi upo fikiria juzi Tambwe na Chirwa hawakucheza hii pekee sycologically timu zimeanza kuingia woga!
 
Haya mkuu subiri uaibike nafikiri utashindwa hata kujibu comments zetu

Eti wa Matopeni.. ....
Sawa subirini tuwaone wa kimataifa
Mkuu! kuna anaye aibika kwa kusema bayana yanayokuja kutokea hapo baadaye?
 
sasa waambie wamuweke bench mpachikaji mabao wao bora ......alafu uone kama wana uwezo si tu wakushinda bao sita, bali wa kushinda mechi..
 
naheshimu mtazamo wako, ila kusema kuwa timu ikishajeruhiwa na timu nyingine ndio sababu ya kushindwa kuwamwagia mvua ya mabao, hapo nakataa kabisa.

Mbona kwenye ligi yanga anapiga mtu nyinginyingi...au na hao wanaopigwa nyinginyingi hawajacheza hata mechi moja?

naamini leo zimamoo wanapigwa nyingi tena ila zinaweza zisifike zile 6 kwakuwa watachukua tahadhari ya ziada kuepukakuaibishwa.

kwa ubora wa klabu kama ya Yanga kwenye mashindano hayo....si dhani kama itampiga mtu bao ka'mojaau tu'wili ....na ikaridhika.

labda kuwena mpango maalum wa mwalimu.
 
Ganja bhaaana
mlikuwa mkiwapa akina nyoso na yule mwenzake aliyekimbia kucheza soka norway na kurudi bongo..

auumesahau mkuu, si ndio ilikuwa boost kwa wachezaji weni kipindi kile?
 
Kama mnaacheza hapa JF basi mtakua mabingwa.
Mkuu!

mnaweza beba ubingwa wa Mapinduzi Cup ila ni kwa taratibu hii - Mpangiwe kucheza na Jamhuri (nusu fainali) na mpangiwe kucheza na KVZ (fainali)

alafu Azam , Yanga na URA zisitishwe kuendelea na michuano.
 
endeleen kufunga na kusali mbadilishiwe kile kifurush chenu cha siku ambacho kimegoma kuungwa mpaka leo
Mkuu! naamini kabisa kuwa kifurushi chenu cha mwezi kitakapo fika ukomo, utatoa laini, utavunja simu na kuuza chaja ya simu.

Nadhani ukomo mnaujua kuwa upo, ila mnajiandaa kisaikolojia kupambana na presha za awali kutoka kwa watani zenu kwa kujipa faraja zilizo jaa giza nene.
 
Kaka michuano ya mapinduzi haina marudio kama ligi vpl kama huamini kua timu ikashapigwa inajihami kupigwa tena nitafute baada ya gemu ya yanga na zimamoto leo
 
Huo ni utabiri tu,so mda wowote unaweza ukabadilika kuwa uongo.Ule msemo mpira dak 90 hawaja kurupuka.
Kuna utabiri uliojivika ngozi ya kinyonga, huo ndio hubadilika mara kwa mara . Kama ule mliokuwa mkijitabiria kila baada na mwanzoni mwa misimuiliyopita kuwa mtakuwa mabingwa wa ligikuu.

huo ndio uliokuwa ukibadilika mithiri ya kinyonga.
ila utabiri wa kuwa Yanga SC atakuwa bingwa sio wa mzaa mzaa, kwa sababu macho yana ona ...kichwa kinaambiwa, na masikio yanasikia.
 
Kaka michuano ya mapinduzi haina marudio kama ligi vpl kama huamini kua timu ikashapigwa inajihami kupigwa tena nitafute baada ya gemu ya yanga na zimamoto leo
Usisahau kua kila baada ya siku moja timu inakua uwanjani so kwa kocha mwenye akili nguvu nyingi aitakiwi muhimu ushindi ili kwenda hatua inayofuata.Nguvu itatumika pale inapobidi.
 
Nalo neno....haha haaaa Mikia FC.
 
ina maana kwenye ligi timu huwa azijihami kushuka daraja?
Kaka michuano ya mapinduzi haina marudio kama ligi vpl kama huamini kua timu ikashapigwa inajihami kupigwa tena nitafute baada ya gemu ya yanga na zimamoto leo
 
YANGA NA SIMBA NUSU FAINALI.... Mark my Words
Labda ufanye makusudi kujifungisha mechi moja ili umalize nafasi ya pili...

hapo utaweza kukutana na Yanga SC inayoshika nafasi ya kwanza kwenye group lao..

sidhani kama mpo tayari kutolewa na Yanga sc nusu fainal..
 
Usisahau kua kila baada ya siku moja timu inakua uwanjani so kwa kocha mwenye akili nguvu nyingi aitakiwi muhimu ushindi ili kwenda hatua inayofuata.Nguvu itatumika pale inapobidi.
Mkuu! ndio kusema wao Yanga nsdio wanatumia sana nguvu( na sio akili) ndio maana wanashinda mabao mengi.....?
 
Uzi zenye ukweli mchungu kama hz huwa zinapigwa vita sana,ngoja waje kukutusua na mitusi yao hapa
 
Mkuu! ndio kusema wao Yanga nsdio wanatumia sana nguvu( na sio akili) ndio maana wanashinda mabao mengi.....?
Sina maana hiyo ila kinachoonekana kwa yanga ni kwamba wanataka sifa nyiingi mno kwenye hatua ambazo timing ndo inatakiwa zaidi kuliko kukaza misuli kupambana kwa nguvu zote na wala pweza wakati mbeleni kuna hatua ngumu zaidi.Na ndo mana yanga michuano hii kaingia fainali mara nyingi ila kombe kabeba mara moja tofauti na mpinzani wake
 
Kamusokooooooo,,,,,Mkata umemee,,,,,,,Dombo mwana Wa ngoma,,,,,huku hapygod msuva na joseline Tambweeeeeeee,,,,,,wanalalamikaaaa oooh la mkono,,,la mkono kamuulize Nape pale ilivyokuwa mlimani city na myfair plazza
 
Kwa Yanga hii mtu yoyote anaebisha kuwa haichukui Ubingwa inabidi akapimwe akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…