Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kushinda mtashinda kama nilivyokwambia si mnapeleka kosi lenu la first eleven?kwa wala urojooTukifungwa leo ntawaacha, ila tukishinda, kuwaacha itashindikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushinda mtashinda kama nilivyokwambia si mnapeleka kosi lenu la first eleven?kwa wala urojooTukifungwa leo ntawaacha, ila tukishinda, kuwaacha itashindikana
Wala urojo wamewajorojoreshaKushinda mtashinda kama nilivyokwambia si mnapeleka kosi lenu la first eleven?kwa wala urojoo
Sisi bado tuna vimbaaa kile kikosi ni halali yaoWala urojo wamewajorojoresha
Na hatukutaka kupoteza muda kwenye Bonanza lisilo na faida yoyote.Tuna majukumu makubwa sana ya CL.Sisi bado tuna vimbaaa kile kikosi ni halali yao
Huu ujasiri wa kuongea haya maneno ya shombo unautoa wapi? Mapinduzi Cup ndilo kombe pekee lililo wafuta machozi msimu uliopita!Na hatukutaka kupoteza muda kwenye Bonanza lisilo na faida yoyote.Tuna majukumu makubwa sana ya CL.
Sasa kwani ni uongo Mapinduzi Cup siyo Bonanza,lina tofauti gani na Ndondo Cup? Yani ligi ndiyo kwanza ipo kati kati na tofauti ya point 6 tu ushaanza kuleta maneno ya shombo kwa Simba kuwa hawachukui ubingwa?Huu ujasiri wa kuongea haya maneno ya shombo unautoa wapi? Mapinduzi Cup ndilo kombe pekee lililo wafuta machozi msimu uliopita!
Au mna ndoto za kuchukua ubingwa wa ligi kuu, na ule wa FA? Aisee msahahu.
Sawa. Na sisi tunawaombea mafanikio mema huko CL. Ila kwenye Ligi ya ndani, aisee kazi mnayo.Sasa kwani ni uongo Mapinduzi Cup siyo Bonanza,lina tofauti gani na Ndondo Cup? Yani ligi ndiyo kwanza ipo kati kati na tofauti ya point 6 tu ushaanza kuleta maneno ya shombo kwa Simba kuwa hawachukui ubingwa?
Simba inaelekeza nguvu kubwa kwanza kabisa CL ili ifikie malengo yake ya kufika Nusu Fainali.Nyie Yanga hata group stage ya CL yaliyokuwa malengo yenu mlifail mkaangukia CC ambako nako kufika Robo fainali ni mtihani mkubwa. Kila la heri Wananchi kwenye kushiriki Bonanza au ukipenda iite Ndondo Cup ya Zanzibar.
Kama kuchukua Ubingwa mara 10 na mwisho wa siku unaishia kucheza kombe la shirikisho,heri Simba iendelee kutokuchukua huo 'Ubingwa' wa ndani lakini kule CAF inacheza CL.Sawa. Na sisi tunawaombea mafanikio mema huko CL. Ila kwenye Ligi ya ndani, aisee kazi mnayo.
Maana Yanga tumejipanga kuwa Mabingwa wa Ligi kuu, kwa miaka 10 mfululizo.
Kalpana umekiona kikosi first eleven chetu..!?Mnaachaje kutoboa na kosi la first eleven??? Hahahaaa
Hivi we kwa utashi wako unaona hili kombe Simba imeliwekea kipaumbele?
Ahmed Ali alisema mnakwenda kutetea kombe lenu wewe unapingana nae?Sasa kwani ni uongo Mapinduzi Cup siyo Bonanza,lina tofauti gani na Ndondo Cup? Yani ligi ndiyo kwanza ipo kati kati na tofauti ya point 6 tu ushaanza kuleta maneno ya shombo kwa Simba kuwa hawachukui ubingwa?
Simba inaelekeza nguvu kubwa kwanza kabisa CL ili ifikie malengo yake ya kufika Nusu Fainali.Nyie Yanga hata group stage ya CL yaliyokuwa malengo yenu mlifail mkaangukia CC ambako nako kufika Robo fainali ni mtihani mkubwa. Kila la heri Wananchi kwenye kushiriki Bonanza au ukipenda iite Ndondo Cup ya Zanzibar.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi Kibu si mgonjwa kweli huyu? Mbona muda mwingi hayupo mchezoni!
Bado upo tuu ndugu yangu...hayo mashindano waachieni wenye nchi yao...huko kushinda dkk 80 ni kwamba mlihenyeshwaa sema kabahati kaliwaaangukia..Kalpana umekiona kikosi first eleven chetu..!?
Scars vipi hukuhama tena??
Shemela Evelyn Salt njoo huku umuulize tena swali jingine huyu Kalpana ...
Bantu Lady njoo huku umwambie huyu Kalpana kuwa kikosi B cha Yanga kinashinda kama Kikosi A
Nipo sana tu..!! Wasalimie dunduka wenzioBado upo tuu ndugu yangu...hayo mashindano waachieni wenye nchi yao...huko kushinda dkk 80 ni kwamba mlihenyeshwaa sema kabahati kaliwaaangukia..