Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ili ueleweππMbona maelezo mengi lakini ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ueleweππMbona maelezo mengi lakini ππππ
Awe antiboyotiki au la, mlifungwa? and swali lakeNimemjibu kwa uzuri zaidi asije sema kikosi kilikua na kina Chama na kina Boco au kina anibayotiki...nimemwambie kile kilikua kikosi kilichojaa watu wa Sub π π π π π π
Shemeji hawa ndio watu wanafeli unabaki kujiuliza kafeli vipi, alitakiwa kujibu wamefungwa au hawajafungwaWe Kalpana, huyu Evelyn Salt wala hajauliza ni kikosi gani wala kama ni Simba Queens ndo walicheza. Jibu swali banaa
Happy new year dear, mwaka uwe wa furaha na amani kwako....Eve loves youNimemjibu kwa uzuri zaidi asije sema kikosi kilikua na kina Chama na kina Boco au kina anibayotiki...nimemwambie kile kilikua kikosi kilichojaa watu wa Sub π π π π π π
Hahahaaaa basi umelala jana kwa rahaaa baada kikosi B kufungwaAwe antiboyotiki au la, mlifungwa? and swali lake
Afu kaweka kabisa na antiboyotiki..!!!Shemeji hawa ndio watu wanafeli unabaki kujiuliza kafeli vipi, alitakiwa kujibu wamefungwa au hawajafungwa
Kwani nimetaka kuelewa au nimeuliza kama mlifungwa make nilikua sina uhakika π€£π€£π€£π€£Ili ueleweππ
Kakolanya kikosi B, antiboyotiki aliyefunga hat trick mara ya mwisho naye ni kikosi B etcHahahaaaa basi umelala jana kwa rahaaa baada kikosi B kufungwa
The same to you happy new year dear...thanx v'much..love u either..Happy new year dear, mwaka uwe wa furaha na amani kwako....Eve loves you
Kuna shemeji yako humu naona amejaza Seva na mg za kuwa tulifungwa tulifungwaaa NgalikihinjaKwani nimetaka kuelewa au nimeuliza kama mlifungwa make nilikua sina uhakika π€£π€£π€£π€£
Shemela, hakuna cha kikosi B wala nini..!! Ni kwamba Mlandege jana kamla Simba kimoko usiku kabla ya saa 4. Mlandege kawa Mlandogo..!!!Kwani nimetaka kuelewa au nimeuliza kama mlifungwa make nilikua sina uhakika π€£π€£π€£π€£
Ahahaaa nyie mlijaza seva na zile saba..!! Zamu yetu sasa..!! Na leo tunatoboaKuna shemeji yako humu naona amejaza Seva na mg za kuwa tulifungwa tulifungwaaa Ngalikihinja
Mnaachaje kutoboa na kosi la first eleven??? HahahaaaAhahaaa nyie mlijaza seva na zile saba..!! Zamu yetu sasa..!! Na leo tunatoboa
Tutalifanyia kazi na hili mkuu ni mbovu kweli kweliπKwann muwe na sub mbovu?
Tuache mkuu πShemela, hakuna cha kikosi B wala nini..!! Ni kwamba Mlandege jana kamla Simba kimoko usiku kabla ya saa 4. Mkandege kawa Mlandogo..!!!
Angecheza Kalpana , GENTAMYCINE , Scars etc ndo ningesema ni kikosi B
Huo ni uongoSimba wanafuraha na matokeo utopolo wanamwagikwa nyongo
Tukifungwa leo ntawaacha, ila tukishinda, kuwaacha itashindikanaTuache mkuu π
Bingwa mteteziHivi we kwa utashi wako unaona hili kombe Simba imeliwekea kipaumbele?
Mimi sijasema namkubali. Ila ninachofahamu kwenye timu yenu, asipokuwepo Chama; huwa mnastruggle kupata matokeo.Kumbe na nyie mnamkubali Chama mwamba wa Lusaka..na akiungana pale na Antibayotike maji mtaita mmaaa
Alipouzwa ilikuwaje?? Ule wakati timu haikuwahi kupata matokeo? Watu wamecheza club bingwa na shirikisho bila chama unataka kusemaje labda? Sema tuu uwepo wake ni muhimu ila sio kwamba asipokuwepo timu itashindwa..Mimi sijasema namkubali. Ila ninachofahamu kwenye timu yenu, asipokuwepo Chama; huwa mnastruggle kupata matokeo.
Na ushahidi uko wazi.