Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati haiji x2 mkuu😀😀Mjeda umekoswa risasi mbili tu tayari ushaanza kutishia kuacha kazi?
Unaweza ukakutana na zari la mechi iliyopita kushinda dakika ya mwisho ya nyongeza
Sioni dalili hizo kwa straiker kama KamboleIliwakuta Argentina mpaka wakachukua kombe inashindwaje kwenu?
Iliwakuta Argentina mpaka wakachukua kombe inashindwaje kwenu?
Ngushi 😀,ila kalale sasa umefuata nini hizi dakika za mwisho 🙁Nimechungulia kideoni mmerudisha
Ila kuna mtu amempiga ugoko msingidani fulani kribia avunjike anaitwa sijui kibabake
Dakika ya 88
Mimi na nyie ni damu damu nawapa kampaniNgushi 😀,ila kalale sasa umefuata nini hizi dakika za mwisho 🙁
Kesho uje utupokee Ferry 🙁Mimi na nyie ni damu damu nawapa kampani