Mapinduzi Day na DW: Mazungumzo Baada ya Kufanya Kipindi

Mapinduzi Day na DW: Mazungumzo Baada ya Kufanya Kipindi

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Imekuwa kawaida vyombo vinapokuja kunihoji kuhusu masuala ya historia
wale wanaonihoji husikia historia ambazo hawakupata hata siku moja kuzisikia wala hawakusomeshwa si shule ya msingi, sekondari au chuo kikuu.

Basi tunapomaliza mahojiano huwa wananiuliza maswali mengi sana kiasi husema kuwa itafaa warejee siku nyingine kwa kipindi maalum cha historia ya Tanzania.

 
Back
Top Bottom