Kizimkazi sio popoma kiasi hicho bro,wataka kusema hajui na hawezi amuru jeshi?Hana akili izo kizimkazi. Msipe kiki hapa sw. Chawa
JWTZ wanafanya nini kule Congo kama sio kwa amri yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizimkazi sio popoma kiasi hicho bro,wataka kusema hajui na hawezi amuru jeshi?Hana akili izo kizimkazi. Msipe kiki hapa sw. Chawa
DRC wanamdekeza huyu mtu mrefu mwembamba wa Rwanda.Congo, mpaka paje patulie maafa mengi sana yatatokea. Kazi ipo
Congo wajinga sana, kuanzia jeshi lake mpaka viongozi.DRC wanamdekeza huyu mtu mrefu mwembamba wa Rwanda.
Haya majitu ya DRC yanajuwa kukata viuno, kujichubua na kulelewa na mijimama ndiyo maana Paul Kagame atawasumbua sana.
IKURU ndio nn?? Huu ujinga hata kiswahi hatujui,aibuJamaa wakapandisha bendera ya Zaire na kushusha ya DRC wakiwa ikuru🤣
Christian malanga na Marcel malanga..Jamaa anaitwa Christian Malanga na mtoto wake
Hilo pekee lengo lilikuwa limeshafanikiwa,ni mapinduzi mafupi ila yaliyofanikiwa.Jamaa wakapandisha bendera ya Zaire na kushusha ya DRC wakiwa ikuru🤣
Kagame unamjua?. Kampigania Museveni, kamaliza genocide Rwanda na kamuondoa Mobutu Zaire. Heshima kwake. Sio wewe unajificha kwenye keyboard.Mnamu overrate sana jamaa. Siku mataifa yanayofaidika na madini ya Congo yakiamua kuacha, mtamkataa jamaa yenu.
Acha uongo. Huyo kichaa na wanajeshi ishirini ndio upindue serikali?. Acheni kujipa ujiki ambao hamna. Rwanda kwa Sasa wapo msumbiji wanawamaliza magaidi.Limefail baada ya bimkubwa kuingilia kati.
Ni kama JK alivyoingilia kati lile la Ngurunziza.
Kagame hausiki kabisa. Shida tumekariri Kagame , wakati Kongo Kuna vikundi vya waazi zaidi ya 30.Kagame bhana!
Rwanda haiwezi kumaliza Magaidi wa Msumbiji. Kwa ufupi Msumbiji haina magaidi, ni kundi lililotengenezwa na Ufaransa ili waibe rasilimaliza za gesi iliyogunduliwa kule Msumbiji. Rwanda imekodiwa na Bwana wake Ufaransa ili kulinda Maslahi ya Kampuni ya Total ya Ufaransa kule Cape delgado.Acha uongo. Huyo kichaa na wanajeshi ishirini ndio upindue serikali?. Acheni kujipa ujiki ambao hamna. Rwanda kwa Sasa wapo msumbiji wanawamaliza magaidi.
Ungenielekeza tu ningeelewa.... Umetumia lugha ya ukali sana. Sasa angalia wewe badala ya kiswahili Umeandika kiswahi..IKURU ndio nn?? Huu ujinga hata kiswahi hatujui,aibu
huyo economist ni kichwa Maji wa kitusi haelewi chochote.Kamaliza genocide Rwanda au kaua ndugu zake kibao? Unayajua maisha ya Wahutu huko we jamaa? Kagame bila msaada wa wezi wa madini, haenei kiganjani kwa nchi nyingi tu, ni puppet.