Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mjinga sana,amemwangamiza mtoto wakeChristian malanga na Marcel malanga..
Ule mtego hakuushtukiaJamaa mjinga sana,amemwangamiza mtoto wake
🤣🤣🤣 tz bhnNchi za watu wenye akili hizo...
Wht the point u try to make?Wangewapiga shaba tu badala ya kuwaonyesha
Sasa waisrael watafanya juu chini wawaokoe kwa kitita
Na sisi tunavyochukia hela ndio basi tena 😄 🤣
Kampigania museven kwny nn? Kwan wakati mapinduz yanafanyika ugandaKagame unamjua?. Kampigania Museveni, kamaliza genocide Rwanda na kamuondoa Mobutu Zaire. Heshima kwake. Sio wewe unajificha kwenye keyboard.
My point is very clearWht the point u try to make?
Kubali the guy is fuccckkkkin smart, na sijui mtamsingizia nani this time maana shida zenu Congo hata za miaka 100 iliyopita ni Kagame, hakuna watu wa hovyo sana wasiofikiria kama AfricansMnamu overrate sana jamaa. Siku mataifa yanayofaidika na madini ya Congo yakiamua kuacha, mtamkataa jamaa yenu.
Kwani dogo ameuawa pia?Jamaa mjinga sana,amemwangamiza mtoto wake
Aliokwambia adhabu yao n kifo tuu n nani?My point is very clear
Wakifungwa ipo siku watasema wametoroka
Walitaka kupindua nchi adhabu yao ni kifo tu, maana wangeleta maafa zaidi wangefanikiwa
DRC inafanywa shamba la bibi
Kwani dogo ameuawa pia?
Nimesikia kahukumiwa kuuawa ,Ipi ni kauli ya Marekani , na je kashauawa ?No,alikamatwa
Nimesikia kahukumiwa kuuawa ,Ipi ni kauli ya Marekani , na je kashauawa ?No,alikamatwa
Kauawa kwenye hii trend ya sasa hivi waliopigwa risasi,je mzee wake yuko hai au???Nimesikia kahukumiwa kuuawa ,Ipi ni kauli ya Marekani , na je kashauawa ?
Kuhusu mtoto sina taarifa ndio maana nimeuliza hapo juu , ila Mzee aliuwawa baada ya jaribio lake kufeli , Marcel na wenzie ndio wakakamatwaKauawa kwenye hii trend ya sasa hivi waliopigwa risasi,je mzee wake yuko hai au???
Basi mwanae nae wameungana na baba yakeKuhusu mtoto sina taarifa ndio maana nimeuliza hapo juu , ila Mzee aliuwawa baada ya jaribio lake kufeli , Marcel na wenzie ndio wakakamatwa
BadoyukohaiChristian malanga the Man him self