Mapinduzi kama ni ya kumng'oa Mbowe na Machawa wake basi nayaunga mkono, naomba yawe

Mapinduzi kama ni ya kumng'oa Mbowe na Machawa wake basi nayaunga mkono, naomba yawe

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono.

Kipindi hiki zimekuja tena baada ya Mbowe kupata mpinzani kwenye kiti chake alichokifanya "Ni chake cha enzi" Yani Uenyekiti wa Chadema kwa Mbowe ni utukufu.

Mwaka 2010 nilipiga kura kwa Dkt. Slaa na Mnyika, 2015 nikapiga kura kwa Lowassa na Mdee, 2020 nikapiga kura kwa Lissu na Mdee. Naamini kuwa kura zangu zilikuwa na kitu ndani ya chama. Naamini nilikuwa sahihi kutetea chama nilichokipenda.

Mwaka huu wa 2024, Mbowe nakuapia kwa Mungu nimekichukia sana. Nakuona kama mzigo ndani ya Chadema. Natamani hata Mungu aingilie kati maana umekuwa na kiburi. Mbowe nimekuchukia sana na wafuasi wako wanaokuunga mkono.

Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.

Hayo mapinduzi kama ni yakukuondoa wewe na machawa wako basi hata michango tutatoa.

Mbowe nimekuchukia unajali zaidi maslahi yako na machawa kuliko uhai wa chama. Sitaki hata kukusikia!
 
20241218_051429.jpg
 
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono.

Kipindi hiki zimekuja tena baada ya Mbowe kupata mpinzani kwenye kiti chake alichokifanya "Ni chake cha enzi" Yani Uenyekiti wa Chadema kwa Mbowe ni utukufu.

Mwaka 2010 nilipiga kura kwa Dkt. Slaa na Mnyika, 2015 nikapiga kura kwa Lowassa na Mdee, 2020 nikapiga kura kwa Lissu na Mdee. Naamini kuwa kura zangu zilikuwa na kitu ndani ya chama. Naamini nilikuwa sahihi kutetea chama nilichokipenda.

Mwaka huu wa 2024, Mbowe nakuapia kwa Mungu nimekichukia sana. Nakuona kama mzigo ndani ya Chadema. Natamani hata Mungu aingilie kati maana umekuwa na kiburi. Mbowe nimekuchukia sana na wafuasi wako wanaokuunga mkono.

Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.

Hayo mapinduzi kama ni yakukuondoa wewe na machawa wako basi hata michango tutatoa.

Mbowe nimekuchukia unajali zaidi maslahi yako na machawa kuliko uhai wa chama. Sitaki hata kukusikia!
Quinine
 
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono.

Kipindi hiki zimekuja tena baada ya Mbowe kupata mpinzani kwenye kiti chake alichokifanya "Ni chake cha enzi" Yani Uenyekiti wa Chadema kwa Mbowe ni utukufu.

Mwaka 2010 nilipiga kura kwa Dkt. Slaa na Mnyika, 2015 nikapiga kura kwa Lowassa na Mdee, 2020 nikapiga kura kwa Lissu na Mdee. Naamini kuwa kura zangu zilikuwa na kitu ndani ya chama. Naamini nilikuwa sahihi kutetea chama nilichokipenda.

Mwaka huu wa 2024, Mbowe nakuapia kwa Mungu nimekichukia sana. Nakuona kama mzigo ndani ya Chadema. Natamani hata Mungu aingilie kati maana umekuwa na kiburi. Mbowe nimekuchukia sana na wafuasi wako wanaokuunga mkono.

Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.

Hayo mapinduzi kama ni yakukuondoa wewe na machawa wako basi hata michango tutatoa.

Mbowe nimekuchukia unajali zaidi maslahi yako na machawa kuliko uhai wa chama. Sitaki hata kukusikia!
Hakuna mapinduzi kwenye sanduku la kura, anayekubalika kwa wajumbe ndiye atakayeshinda.
 
Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.
Kura hukomesha mashindano.....
 
Hv hakuna sheakh anaweza kusoma albadiri matata ikaamua huu ugomvi wetu na king'ang'anizi ayatola mugabe mbowe.
 
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono.

Kipindi hiki zimekuja tena baada ya Mbowe kupata mpinzani kwenye kiti chake alichokifanya "Ni chake cha enzi" Yani Uenyekiti wa Chadema kwa Mbowe ni utukufu.

Mwaka 2010 nilipiga kura kwa Dkt. Slaa na Mnyika, 2015 nikapiga kura kwa Lowassa na Mdee, 2020 nikapiga kura kwa Lissu na Mdee. Naamini kuwa kura zangu zilikuwa na kitu ndani ya chama. Naamini nilikuwa sahihi kutetea chama nilichokipenda.

Mwaka huu wa 2024, Mbowe nakuapia kwa Mungu nimekichukia sana. Nakuona kama mzigo ndani ya Chadema. Natamani hata Mungu aingilie kati maana umekuwa na kiburi. Mbowe nimekuchukia sana na wafuasi wako wanaokuunga mkono.

Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.

Hayo mapinduzi kama ni yakukuondoa wewe na machawa wako basi hata michango tutatoa.

Mbowe nimekuchukia unajali zaidi maslahi yako na machawa kuliko uhai wa chama. Sitaki hata kukusikia!
Shit
 
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono.

Kipindi hiki zimekuja tena baada ya Mbowe kupata mpinzani kwenye kiti chake alichokifanya "Ni chake cha enzi" Yani Uenyekiti wa Chadema kwa Mbowe ni utukufu.

Mwaka 2010 nilipiga kura kwa Dkt. Slaa na Mnyika, 2015 nikapiga kura kwa Lowassa na Mdee, 2020 nikapiga kura kwa Lissu na Mdee. Naamini kuwa kura zangu zilikuwa na kitu ndani ya chama. Naamini nilikuwa sahihi kutetea chama nilichokipenda.

Mwaka huu wa 2024, Mbowe nakuapia kwa Mungu nimekichukia sana. Nakuona kama mzigo ndani ya Chadema. Natamani hata Mungu aingilie kati maana umekuwa na kiburi. Mbowe nimekuchukia sana na wafuasi wako wanaokuunga mkono.

Nimekuchukia kiasi kwamba kama utaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na hao machawa wako nitaanzisha harakati kukupinga na bora kife hicho chama kama wewe utavuka nacho ukiwa mwenyekiti.

Hayo mapinduzi kama ni yakukuondoa wewe na machawa wako basi hata michango tutatoa.

Mbowe nimekuchukia unajali zaidi maslahi yako na machawa kuliko uhai wa chama. Sitaki hata kukusikia!
CDM wamechoka kupambana na CCM wameamua wapambane wenyewe kwa wenyewe.

Wanaharakati mliowatumia kubeba ajenda zenu ndiyo fimbo inayowachapia bado hamjaelewa kwa sababu hamna intelligent service ndani ya Chama na viongozi wenu hawana emotional inteligence. Sikutarajia post hii kutoka kwako.

Poleni sana.
 
Every renegade who left CHADEMA was dubbed a turncoat and an enemy of progress. It's either true, that everyone that touches the THRONE is a traitor, or the KING sitting on it is a problem.

It defies ordinary understanding to even comprehend that, WANGWE, KABWE, SLAA and LISSU were at fault in their political escapades, and MBOWE is always on the Right Side of History, beyond reproach.

I guess Mzee Nyerere's vitriolic statements carried some truths, when circa 1995, claimed that he cannot handover the country to "dogs", referring politicians from the opposition.​
 
Back
Top Bottom