Mapinduzi kutoka Roman Catholic (RC) hadi Tanzanian Catholic (TC) kutokana na tamko la papa

Mapinduzi kutoka Roman Catholic (RC) hadi Tanzanian Catholic (TC) kutokana na tamko la papa

Wangekuwa wanaendeshwa kwa mihemko hivyo, kanisa lao lingekuwa lishakufa miaka Mingi.

Wamepitia changamoto nyingi na kubwa internal na external.
Lakini bado tunawaona mpaka leo, hata hili litapita.
Mtu yoyote mwenye akili timamu anapaswa kutambua kuwa......
Wokeism imeiteka dunia nzima, ukiona taasisi imara kama Catholic inapata kigugumizi jua dunia haipo salama tena.
 
Roman catholic haina uhusiano na kanisa lake Kristo Yesu.
Warumi walitafuta pa kujificha ili waishi humo hata Dola yao ikianguka, kweli jamaa wakajifichia kwenye ukatoriki na ulipofika Mwaka 476 Dola ya Rumi ilianguka rasmi Ila hawakujua kwamba jamaa wametengeneza Dola nyingine kwenye ukatoriki ambao unaishi mpaka leo,
 
Huwezi kuvunja kanisa kwa kauli ya mtu mmoja, kama kweli papa kasema hivyo basi asamehewe kwani na yeye ni Mwanadamu - na hakuna mwanadamu aliyekamilika hapa Duniani. Ataondoka na kanisa ataliacha.
 
Tupe mifano miwili hai (majina na misikiti wanayosalisha) ya viongozi wa kiislamu.
Ukishindwa nakuja kuku-sokomezea li-ukuni matakoni kwako.
Mifano unaijua vizuri sana wala sina haja ya kumtaja mtu wala misikiti hapa. Siyo lengo la huu uzi. Kikubwa kama umewahi fika znz naamini unalifaham hili wazi kabisa.
 
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
Kama hautaki mashoga kanisani anzisha kanisa lako
 
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
Umekuwa lini mshauri wa TEC?
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
Mombasa kwenye waislam wengi ndo kuna mashoga wa kutisha na kila mwanamke hana bikra ya nyuma.Vivyo hivyo Tanga,Pwani,Dar es salaam.
 
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
Askari Muislamu Shoga Zanzibar is loooding......
Mwalimu wa Madrasa aliyewanajisi watotow wadogo is loading.......

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
Wewe una akili fupi sana. Kwa hiyo yule Afande Rama bila shaka ni mkristo yule!! Wale mashoga maarufu wa zamani na ambao wameshafariki kitambo!
Mfano Anti Bilali (huyu aliwahi kuhojiwa live na Zamaradi Mketema na kukiri yeye ni shoga), Anti Ali, Anti Athuman, na wengineo wengi; ni Wakristo bila shaka!!

Hapa sijawataja makumi ya walimu wenu wa madrasa waliohukumiwa vifungo virefu magerezeni, baada tu ya kutiwa hatiani kwa kuwalawiti watoto wadogo wa Kiislam wanaosoma elimu ya dini!!

Na vipi kuhusu nchi ya Kiislam Zanzibar!! Ndugu zenu Waislam wanafanyiana hivyo vitendo mpaka kwenye mahabusu za polisi! Achilia mbali mtaani ambako hivyo vitendo vimeshamiri!!
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.

Tabia ya kukosoa au kushusha kitu kimoja ili kingine kionekane bora zaidi ni dalili ya kutokujiamini na pia kukosa sababu strong za kuonesha ubora wa kile unachokipigania kiasi cha kusubiri anguko la kile kinachoonekana kuwa bora zaidi ili chako kikubalike.

Naamini uislamu upo bora zaidi ya vile unavyouonesha. Kwa hiyo fungua thread uwaeleweshe watu uislamu nje ndani na kama wakiuona ni bora bhasi wataslimu
 
Kasome kwanza GREAT SCHISM au EAST - WEST SCHISM ndio Urudi na upuuzi wako. Ujue kwanza mgawanyiko wa EASTERN CHURCH na WESTERN CHURCH.....
Papa kashakwambia uende ukapewe ubarikio wewe peleka kijambio chako hicho acha kujitia,

Pole
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
Kwa sababu Hao wanajitangaza? Usiwadanganye watu hata huko wako sengi sana
 
Zanzibar na Pwani palipo na misikiti na waumini wengi wa kiislamu mbona ndiko kunaongoza kuwa na mashoga wengi?
Lakini umesikia wapi Msikiti wowote ule ukiridhia matendo kama hayo au kutoa waraka maalumu kwa ajili yao.
 
Sikia wewe! Wale ndio walioeneza ukatoliki duniani, ni taasisi yao ndio maana walituma wamisionari wao kuja afrika/tanganyika/tanzania kujenga makanisa yao. Haya majengo makubwa meni walijenga wao. Hata hivyo siku hizi hakuna wamisionari wa ulaya, ni waafrika tu ndio wanaoendesha makanisa, hivyo basi ni ruksa kujitenga kama wanaona wana code key zote za kuendesha ukatoliki tanzania bila vatican. Wenzao wa kkkt wanajiendeshea kanisa lao bila heardquarter kutoka ujerumani lilikoanzishwa kanisa lao. Kuna makanisa madogodogo yameanzishwa hapahapa tanzania na yako organized well na watanzania wenyewe. Ila kama watapata wafadhili/marafiki huko ulaya waangalie hao marafiki/wafadhili wanataka nini isije ikawa ni kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi. Kanisa katoliki tanzania inawezekana. Hawa hawa wakarithmatiki wanatosha kuwa ndiyo imani yao mpya
 
Back
Top Bottom