Mapinduzi makubwa sekta ya Utalii. Kuna mtu ana swali juu ya Royal Tour?

Mapinduzi makubwa sekta ya Utalii. Kuna mtu ana swali juu ya Royal Tour?

Wale washamba fc walipiga sana kelele kuhusu Royal Tour. Wakaongea sana kutokana na chuki zao tu.

Sasa nchi imefikia kuvunja rekodi kwa kuingiza watalii Mil 3 na ushee kwa mwaka huu.

Sasa niwaulize kuna mtu ana neno la zaidi juu ya kwa nini ilifanyika Royal Tour?

View attachment 2764970
Kwani Huwa wanakuja kutalii Bure? Mbona Dola hazipo. Au tu apigwa fix tu otherwise wawe wanakuja free of charge
 
Mbona Dollar bado shida kama tunapata watalii wengi namna hii
Wanajipimia (kama walivyoelekezwa na mkuu wa chama) kwa urefu wa kamba zao ambazo bahati mbaya ni ndefu mno ...hivyo zinaishia juu kwa juu!.
Umesahau ripoti ya CAG majuzi tu hapa iliwekwa kapuni??.
 
Ilitabiriwa takwimu kupikwa kwa hiyo hii wala siyo habari!
 
Mbona Dollar bado shida kama tunapata watalii wengi namna hii
Mkuu naisoma ile story yako imenipa vitu vingi sana na imeniongezea spirit fulani kama kijana. Naomba uni DM email yako ipo siku kabla ya mwaka kuisha tutawasiliana.
 
Na lengo ni kumfurahisha mama..

Yaani kama mm ni kiongozi sijui uniambie tumefikia takwimu hizi
Na hili lilianza tangu Mkwere aingie, baadaye walirithi viongozi wengine wote baada yake
 
Back
Top Bottom