Wewe umefanya lini tathimini ya filamu ya Royal Tour ndiyo imefanya Watalii waongezeke?Umesoma kayumba nini? Soma hata kichwa cha hiyo habari. Kwa tafsiri ya hiyo heading tu hatujawahi kufikia hiyo rekodi.
Kwani Huwa wanakuja kutalii Bure? Mbona Dola hazipo. Au tu apigwa fix tu otherwise wawe wanakuja free of chargeWale washamba fc walipiga sana kelele kuhusu Royal Tour. Wakaongea sana kutokana na chuki zao tu.
Sasa nchi imefikia kuvunja rekodi kwa kuingiza watalii Mil 3 na ushee kwa mwaka huu.
Sasa niwaulize kuna mtu ana neno la zaidi juu ya kwa nini ilifanyika Royal Tour?
View attachment 2764970
Kipindi cha Magufuli Corona19 ilisumbua na sasa upishi wa data aisee!!Umesoma kayumba nini? Soma hata kichwa cha hiyo habari. Kwa tafsiri ya hiyo heading tu hatujawahi kufikia hiyo rekodi.
Wanajipimia (kama walivyoelekezwa na mkuu wa chama) kwa urefu wa kamba zao ambazo bahati mbaya ni ndefu mno ...hivyo zinaishia juu kwa juu!.Mbona Dollar bado shida kama tunapata watalii wengi namna hii
Mkuu naisoma ile story yako imenipa vitu vingi sana na imeniongezea spirit fulani kama kijana. Naomba uni DM email yako ipo siku kabla ya mwaka kuisha tutawasiliana.Mbona Dollar bado shida kama tunapata watalii wengi namna hii
Na hili lilianza tangu Mkwere aingie, baadaye walirithi viongozi wengine wote baada yakeNa lengo ni kumfurahisha mama..
Yaani kama mm ni kiongozi sijui uniambie tumefikia takwimu hizi