Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #361
Leo Tanzania watu wana kimbia nchi.Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.
Paskali
Pasco tatizo lako wewe ni ktk wale watanzania wachache ambao lengo na dhumuni lao kila waongeapo au waandikapo ni kuchokonoa vile ambavyo kwa namna moja au nyingine vitasababisha chuki!
Sijakuona hata siku moja ukiongelea ubaya na unyama waliotufanyia wazungu hapa!
Uwaonao wewe ni WAARABU TU!
And guess why! Yoote ni kwa kuwa walikuwa WAISLAMU!
Pasco hapa hakuna mtoto mdogo! Na japo utakana hili lkn nadhani tunakufahamu muda sasa!
Wewe ni msukuma ambae umewaasi hata hao wazee wako.
Nikuulize swali la msingi hapa!
Huu utukufu wa haya mapinduzi kwa mtazamo wako wewe ni UPI HASA!
Wazee wetu wamepoteza maisha yao. Watoto wetu wamechinjwa. Damu imemwagika kwa.pande zote mbili!
We hasa huo uuitao utuKufu ni NINI.?
HEBU tujuze kidogo! Manake we mtu wa baliadi unaonekana kuyafahamu mapinduzi kuliko wazanzibari wenyewe.
Leo Tanzania watu wana kimbia nchi.
wengi tu walokimbia nchi kuanza wakati wanyerere hadi huu wa magufuli.
kwanini wakakimbia ? Baada ya kuona mateso na madhila ya nawo wakuta wenziwawo kama wawo.
Sasa waarabu na wahindi walikimbia baada kuona wenziwawo walivyo dhalilishwa, kubakwa na kuuliwa bila ya sababu.
Sababu kubwa rangi zao na Asili zawo.
Hakuna chakukuweka utahama tuu kutafuta usalama wako.
Hata Bwana Mtume Muhammad na wafuasi wake walihama Makkah kwenda madina kwa usalama wawo.
Akufukuzae hakwambii toka. Pasikali how can you be so obtuse? Dont reopen old wounds.Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.
Paskali
Mkuu simplemind , mimi kazi yangu ni mwandishi wa habari na jukumu langu ni kuripoti tuu kwa ukweli kile ninachosikia. Hapo nimeripoti kilichosemwa na shuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar ya January 1964, hapa kosa langu ni lipi au ni nini?.Akufukuzae hakwambii toka. Pasikali how can you be so obtuse? Dont reopen old wounds.
Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Paskali
Huu ujinga utaisha lini? Wewe mwarabu wa wapi? MAPINDUZI KUITWA MATUKUFU NI NENO LINALOTAJWA NA WAZANZIBAR WENYEWE. WEWE UNAONA WAARABU NA UISLAM. UMEKUWA BRAIN WASHEDPasco tatizo lako wewe ni ktk wale watanzania wachache ambao lengo na dhumuni lao kila waongeapo au waandikapo ni kuchokonoa vile ambavyo kwa namna moja au nyingine vitasababisha chuki!
Sijakuona hata siku moja ukiongelea ubaya na unyama waliotufanyia wazungu hapa!
Uwaonao wewe ni WAARABU TU!
And guess why! Yoote ni kwa kuwa walikuwa WAISLAMU!
Pasco hapa hakuna mtoto mdogo! Na japo utakana hili lkn nadhani tunakufahamu muda sasa!
Wewe ni msukuma ambae umewaasi hata hao wazee wako.
Nikuulize swali la msingi hapa!
Huu utukufu wa haya mapinduzi kwa mtazamo wako wewe ni UPI HASA!
Wazee wetu wamepoteza maisha yao. Watoto wetu wamechinjwa. Damu imemwagika kwa.pande zote mbili!
We hasa huo uuitao utuKufu ni NINI.?
HEBU tujuze kidogo! Manake we mtu wa baliadi unaonekana kuyafahamu mapinduzi kuliko wazanzibari wenyewe.
Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!
Paskali
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.
Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.
Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.
Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.
Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.
Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.
Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!
Paskali
Mkuu Yoda 、kwanza asante sana kuni tag,uzi huu Huyu ndo sultan wa Mwisho wa Zanzibar ..
Wew ni muongo sana, huwez kuficha ukweli kwa kusema uongo wa namna hyo juu mapinduzi.Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!
Paskali
Huyu muongo sn Yan okello atangulizwe tu kutangaza mapinduzi wkt hajulikani yeye ni nani, maan kasema akina akina abdul jumbe walikuwa wanauliza huyu ni nani?[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ahsnt sn ndgu
Kumbe wewe umebeba kichwa kikubwa tu lkn hakina akili hata moja.Mkuu rizimu ya kahawa, Kahawarizimu, yalipotokea Mapinduzi ya Zanzibar, mimi sikuwepo, nilipopata akili kuhusu haya Mapinduzi, nimekuta yakiitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na slogan ni "Mapinduzi Daima!", hiyo aliyeyatukufusha sio mimi wala Kikeke, bali wale waliofaidika na mapindizu hayo!.
Niliuliza toka mwanzo Mwarabu alipotokazake Omani na kuitwaa Zanzibar, aliwakuta wenyewe?, wenye Zanzibar yao?!, alivipataje hivyo visiwa hadi kuvifanya vyake?, aliviokota tuu kama sadakalawe?, kwa taarifa tuu haswa kwenu msiojua, Mapinguzi ya Zanzibar yalifanywa na wenye Zanzibar yao!, wakampindua mvamizi Mwarabu!, na wengi walidhani Waarabu walitimuliwa!, la hasha, hawakutimuliwa, bali walijitimkia wenyewe, ama kurudi kwao ama kukimbilia uhamishoni!.
Wanaoyaita Mapinduzi yale Matukufu kuwa ni mauaji ya kimbari, ni waliopinduliwa na vizalia vyao!, kama vipi, bora kila mtu arejee kwao kwenye asili yake, muwaachie Zanzibar, wenyewe halisi wenye Zanzibar yao!.
Mtu aje atoke anakokujua, avamie visiwa, avitwae na kuvifanya vyake, atimuliwe, kisha alalamike!.
Mapinduzi Daima!.
Pasco
Mkuu Kishinajari, Kishnajr anayazungumzia Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni Mzee Sukari, mimi hapa ni reporter tuu nikiripoti kilichosemwa na nilichokisikia, na links nimekuwekea ili na wewe usikilize mwenyewe, sasa muongo ni nani kati ya mimi niliyeripoti nilichosikia na aliyesema?. Tuheshimiane, kuitana waongo hakusaidii, kama unaujua ukweli useme!。Wew ni muongo sana, huwez kuficha ukweli kwa kusema uongo wa namna hyo juu mapinduzi.
Tekinolojia ni nzuri sana isee uzuri YouTube ina video za mapinduzi hayo sehemu mbalimbali hapo unguja kuanzia mnazi mmoja, darajani, bububu na kwingineka unaweza kuona live kilichokuwa kinaendelea ni mauaji ya halaiki kwa waarabu hapo zanzibar kwa askari waliopindua walikuwa wanvuta bangi, na wengine walivaa gauni na mashera imagine ni wazi ni kama gang alafu waarabu waliuliwa kwa makundi na kutupwa kwenye visima na wengine walibakwa wengine walikimbia na majaazi na wengi waliuliwa pwani walipokuwa wanakimbia kunusuru maisha yao.Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!
Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!
Paskali
... na mapanga.ilipinduliwa na magongo na marungu