Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #381
duh !。Tekinolojia ni nzuri sana isee uzuri YouTube ina video za mapinduzi hayo sehemu mbalimbali hapo unguja kuanzia mnazi mmoja, darajani, bububu na kwingineka unaweza kuona live kilichokuwa kinaendelea ni mauaji ya halaiki kwa waarabu hapo zanzibar kwa askari waliopindua walikuwa wanvuta bangi, na wengine walivaa gauni na mashera imagine ni wazi ni kama gang alafu waarabu waliuliwa kwa makundi na kutupwa kwenye visima na wengine walibakwa wengine walikimbia na majaazi na wengi waliuliwa pwani walipokuwa wanakimbia kunusuru maisha yao.
Kiukweli zanzibar ipo salama sababu ya muungano na si kitu kingine karume alitumia akili sana kumuomba nyerere waunganishe nchi sababu alijua kabisa usalama wake ulikuwa mashakani pamoja na hivyo bado walimpata na kumuuwa..
p